Makapuku Forum

Hahahaa... Usijali, wapo wa kutosha. Karibu kaka.
Ntakuja ck moja, mwanza laifu simpo sanaaaa...naowaogopa watoto wa mbwa( machokoraa)
Hawa ni hatari sana.
Siku moja walimnyang'anya mzee wa kisukuma radio alokuwa asikiza mpira karibu na skio na kusepa nayo kuelekea ziwani.
Mzee kajifanya kuwafukuzia
Matokeo yako wakamvua viatu, suruali na shati wakakaingia ziwani ktkt kwa mtumbwi..mzeee alilia balaa
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…