makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,862
- 104,038
Aah.. Mie alhamdulillah namshukuru allah mwingi wa rehma.Buheri wa afya..... Sijui wewe
Aah.. Mie alhamdulillah namshukuru allah mwingi wa rehma.Buheri wa afya..... Sijui wewe
Yanaenda vizuri kabisaNipo mkuu wangu....Mchakamchaka tu unafanya tuadimike kidogoo...Mambo yanaendaje pande hiyo?
Tuko pamoja sana kabisa mkuu wangu...Yanaenda vizuri kabisa
Nakusalimu mkuu wanguTuko pamoja sana kabisa mkuu wangu...
Pamoja sana mkuu...Niaje pande hiyo?Nakusalimu mkuu wangu
Mkuu nafurahi kuwaona...
Shemeji nakusalimia..
Zinapatikana wap hizi? Nazihitaji kwa matumizi binafsi

U hali gani mkuu..?Nawasalimu wote kwa jina la Muumba wa hii dunia
Ameen mtu wa Mungu...U hali gani leo?Nawasalimu wote kwa jina la Muumba wa hii dunia
Namshukuru Mungu hali ni njema, vp pande hizo?U hali gani mkuu..?