Makapuku Forum

Makapuku Forum

FIX ZA BITOZ:
Kipwe= Demu kimbaumbau
Kwaguru=Bonge
Chofyu= mvivu
Tengu= ugali

Watag Kwaguru na Chofyu km unawajua....mi nipo gheto na Kipwe tunakulaTengu kwa tokoto zetu

..............
Sasa basi uwe unatoa mawili mawili ili tukariri
Maneno yako ni magumu na unatoa mengi mengi hivi mie ntayakariri lini jamani
 
1468951984747.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom