Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Mutoto kwa Odinga hiyoNi sheeeeeder
Mutoto kwa Odinga hiyoNi sheeeeeder
Nmeenda kuwachungulia kumbe ni hawa watt wa 1998 ndo wanapigania uhuru wao.
![]()





Wanahangaika tuNmeenda kuwachungulia kumbe ni hawa watt wa 1998 ndo wanapigania uhuru wao.
![]()
Ametoa kali kwakweliSafi tu mkuu, umemfurahisha sana Jimena umepiga sala yako ya jioni ukawa ndo ushamaliza mpaka jumapili![]()
![]()
Atasumbua sanaaaMutoto kwa Odinga hiyo
Sisi tumeshajikomboa kitambo tunawachora tu hawa ambao bado wanapambana na mkoloni
Kenya mabinti wa namna hiyo ni adimu sana sasa anapopatikana jeshini ni balaa zaidi, atakua msomali huyoJeshi la Kenya hilo
Acha waendelee kupigania uhuru wao bila kumwaga damuWanahangaika tu

Yah bado wana safari ndefuSisi tumeshajikomboa kitambo tunawachora tu hawa ambao bado wanapambana na mkoloni![]()
Ni kweli kabisaAcha waendelee kupigania uhuru wao bila kumwaga damu
![]()
![]()
![]()
![]()
Mpaka wafikie wanapotaka wanahitaji umoja, mshikamano na upendoYah bado wana safari ndefu
Huyu hata depo inaonekana hakuteseka sanaaa kwa 7bu ua kubebwa na ma-inspectorKenya mabinti wa namna hiyo ni adimu sana sasa anapopatikana jeshini ni balaa zaidi, atakua msomali huyo

Haha amepiga pasi ndefu amejitangulizia kwa mbele..Ametoa kali kwakweli