Makapuku Forum

Celery ndo hua zinafanya salad lakini ni tofauti kidogo na hizo za kwenye picha
Kwan hizo celery zikoje mana kuna siku nilizila hizo kwenye picha ila nlisahau tu kuuliza, ilikua salad kule buziness class wakat narud nlikua economy sikuziona
 
Si wamemleta patna wake anaitwa Takuma


.............
Hahaaa... Nyambaf kabisa wenger na wachezaji wa ajabu, arsenal haipaswi kuwa ya wachezaj wa "future tense", inafaa kuwa ya "present tense"

Tuliozoea kujitizamia arsenal ya kina overmars, berkgamp, henry kichogo, ray parlour, viera patrick, pires etc, tunajionea chama letu kama kichef chefu siku hizi, hatuna jinsi tu, lakin mioyo yetu ishasepa kitambo imebaki miili tuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…