Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1913 - Gerald Ford anazaliwa. Ni Rais wa 38 wa Marekani.

Ford anabakia kuwa Rais pekee wa Nchi hiyo kushika nyadhifa ya Makamu wa Rais baadae Nyadhifa ya Urais bila kuchaguliwa kwa kura.

Alishika nyadhifa hizo kwa wakti tofauti kutokana na viongozi hao kujiuzulu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…