Asante kikofia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ni kwel kabisa
Habari jimenaAsante kikofia
Kuna mgeni hujamkaribishaUsiku mwema family
Nilishamjibu huyo. Au kuna mwingineKuna mgeni hujamkaribisha
Hebu kajibu salamu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Pamoja sana mkuu mussolinahsante mkuu
Unaweza kupunguza kasi ya magari ya mwendo kasi na sio kasi ya uzi wa kf
Nawe piaNIGHT'S QUOTE :
Unaweza kumuua kapuku(kuifuta thread) lkn siyo fikra zake, Unaweza kumfunga kapuku (kumpiga ban) lkn siyo fikra zake & Unaweza kuuasi ukapuku(hate) lkn moyoni mwako ukapuku utaendelea kuishi milele
USIKU MWEMA KAPUKUZ
KabsaaaKapuku Forum ilianza kimzaha mzaha lakini sasa hivi ndicho kilinge kikubwa ambacho watu wanazungumza lugha moja na wana urafiki mkubwa.
Hili ni jambo jema sana.
Asante sana kikofia, nimemaliza kusoma zote 5Nmeshatimiza wajibu wangu.. sasa tukutane tena kesho kwenye episode ya 6 nk..
Hadithi mmeletewa kwa udhamini wa Kikofia founder
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkapa kumbe ni wa 1938NUKUU NO 1# Kamwe msisahau kuwa serikali, na sekta ya umma kwa jumla, Sasa si mwajiri mkubwa kama ilivyokuwa zamani. Wanachama wenu wengi sasa watakuwa kwenye sekta binafsi. Na kwa kadri sekta binafsi inavyotwaa majukumu mengi zaidi ya kiuchumi na utoaji wa nafasi za ajira, ndivyo wajibu na kazi za vyama vya wafanyakazi zinavyoongezeka. Jiandaeni vizuri kuubeba mzigo huo, na serikali itawasaidia kwa dhati, haya yalisemwa na Rais wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa, Mei Mosi 2001 wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi jijini Dar es salaam, Mkapa alizaliwa Nov 12,1938 alikuwa Rais wa Tanzania Kati ya 1995 mpaka 2005

Kumbe mzee hiviMkapa kumbe ni wa 1938![]()
![]()
Asante sana kwa nukuuKwa hisani ya speed ya makapuku 250kph, nawatakieni jioni njema