Makapuku Forum

Makapuku Forum

Za muda huu kapukuz...hebu chekini hiii kituu...teh teh teh...😵😵
View attachment 365186 View attachment 365187 View attachment 365189 View attachment 365190
.
5672ec911393523f801143721598fe52.jpg

Inaonyesha Makapuku tupo juu now wameacha kuwazungumzia wakongwe wamebaki kutuzungumzia sisi
Wanavyotutajataja ndo wanatupaisha bila kujua......inaonrsha wazi wanatufuatilia kila kinachoendelea humu na wanaona wivu na kuleta maneno ya kuponda wkt wao kila day wanaingia kusoma magazeti na ishu kibao humu
HONGERA ZAO WANAFIKI NA MAGREAT "SINKERS " WOTE
Sisi tunafunga watu midomo kwa vitendo wala hatutumii nguvu/matusi wala malumbano na mtu
.........................................
 
Serikali ya Zanzibar haina wasi wasi na hatari zinazoandikwa na waandishi vibaraka kuhusu Zanzibar, lakini inaendelea na juhudi zake za mipango ya maendeleo kama kawaida. Wale wanaotoa propaganda za namna hiyo hawapendezwi namna Zanzibar inavyofanya maendeleo yake. Hayo yalitamkwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani karume, September 13,1971, ikulu ya Zanzibar, alipotembelewa na wanafunzi wa uandishi wa habari kutoka chuo cha uandishi wa habari Nairobi, Kenya
 
NUKUU NO 2# Kuna mambo mawili ambayo hayana mwisho ;kwanza ni ulimwengu na pili ni upumbavu wa mwanadamu ;na kwa kweli Sina uhakika kuhusu ulimwengu, haya yalitamkwa na mwanafizikia wa kijerumani, Albert Einstein, mwanafizikia huyo alizaliwa March 14,1879 na kufariki Dunia April 18,1955. Ni mshindi wa tuzo ya Nobel katika fizikia,tuzo aliyoipata mwaka 1921
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom