Nahrene
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 938
- 2,908
Huku kwangu safi tuNzuri kabisa, hofu kwako tu
Huku kwangu safi tuNzuri kabisa, hofu kwako tu
Karume babaSerikali ya Zanzibar haina wasi wasi na hatari zinazoandikwa na waandishi vibaraka kuhusu Zanzibar, lakini inaendelea na juhudi zake za mipango ya maendeleo kama kawaida. Wale wanaotoa propaganda za namna hiyo hawapendezwi namna Zanzibar inavyofanya maendeleo yake. Hayo yalitamkwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani karume, September 13,1971, ikulu ya Zanzibar, alipotembelewa na wanafunzi wa uandishi wa habari kutoka chuo cha uandishi wa habari Nairobi, Kenya
Namkubali sana mwana sayansi huyuNUKUU NO 2# Kuna mambo mawili ambayo hayana mwisho ;kwanza ni ulimwengu na pili ni upumbavu wa mwanadamu ;na kwa kweli Sina uhakika kuhusu ulimwengu, haya yalitamkwa na mwanafizikia wa kijerumani, Albert Einstein, mwanafizikia huyo alizaliwa March 14,1879 na kufariki Dunia April 18,1955. Ni mshindi wa tuzo ya Nobel katika fizikia,tuzo aliyoipata mwaka 1921
Mi pia nilishangaa, sikutegemea lil Kim kuwa mkubwa kaisi kileKumbe kabibi hivyo!!!
Leo hujaonekana kabisa hapaHuku kwangu safi tu
Nimefurahi kusikia hivyoHuku kwangu safi tu
Kwa hiyo sisi wa mwaka 75 ni vibibi? Sawa, hujambo mjukuu?Kumbe kabibi hivyo!!!
NUKUU NO 2# Kuna mambo mawili ambayo hayana mwisho ;kwanza ni ulimwengu na pili ni upumbavu wa mwanadamu ;na kwa kweli Sina uhakika kuhusu ulimwengu, haya yalitamkwa na mwanafizikia wa kijerumani, Albert Einstein, mwanafizikia huyo alizaliwa March 14,1879 na kufariki Dunia April 18,1955. Ni mshindi wa tuzo ya Nobel katika fizikia,tuzo aliyoipata mwaka 1921
Sina maana hiyo!!!....Lil anaonekana kama yupo kwenye miaka ishirini na....Kwa hiyo sisi wa mwaka 75 ni vibibi? Sawa, hujambo mjukuu?

Teh... Nimekutania tu bhanaa... Hebu niitie QUIGLEY popote alipo..?Sina maana hiyo!!!....Lil anaonekana kama yupo kwenye miaka ishirini na....![]()
![]()
![]()
![]()
Nilikuwepo asubuhiLeo hujaonekana kabisa hapa
Ndo unamuonea Jimena aibuMkuu mishee zinaaaa banaa![]()
![]()
![]()
![]()