Makapuku Forum

JAMANI NINA OMBI LANGU KIDOGO..
najua mmeshanizoea kwa mbwembwe Gif,photo,utani na mikwara mingi..

Sasa nmeona kama hamtajali niwe nawaletea pia Hadithi hapa.. kwa siku angalau niwe ninaleta episode 5 mpaka pale hadithi itakapoisha na kuanza hadithi nyingine.
Dhumuni la kuamua au kufikiria kufanya hivi ni kutaka jukwaa letu lichangamke na kuongeza pia vionjo.

Je mtapenda nianze na hadithi za namna gani?


Makundi ya hadithi;
Za mapenzi
Za upelelezi
Vichekesho
Za kichawi

NB:mbwembwe, utani, Gif, mikwara and kutambariiiing zitakuwa zipo pale pale
 
Wazo Zuri
Kila MTU ubunifu wake
Hongera kikofia

...........
 
Maana nmeona kila member yuko na kitengo chake kasoro mm ndo nnekuwa kiraka kila sehemu nipo
Ndo ivo ulikuwa unatia aibu ww kikofia.....vitu vya kubuni vipo vingi sana.
Kupiga story kutwa nzima fresh tu lkn inapendrza zaidi tunapoleta na vitu vyenye akili/mvuto/mafunzo,n.k

.....................
 
Za upelelezi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…