Makapuku Forum

Ni kweli, wanalamba likes, then wanasepa, wengi nawaona wanazurura kulee majukwaa fln
 
Ndo hivyo mdau ndo kutakuwa na KUHESHIMIANA badala ya watu kujiona mastaa au kuona huu uzi wa kizoba
Fanya km nilivyokuelekeza uone heshima yake

...........
Chunguza sana wageni huwa siwakimbilii hadi nione kusudi lao, unaweza kulike then mda mfupi anatutusi na kuishia, mfano kuna gaden kimaron huwa simuelewi so huwa nampita kimya, nafikiri unamwelewa kwani weww mwerevu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…