Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,274
KweliDrake katika ubora wake
KweliDrake katika ubora wake
Asante sana kwa kunipa heshima kubwa sana ya udhamini..Je wajua imeletwa kwenu kwa hisani ya mwanadada mrembo, mwerevu, hekima, busara, mchapakazi sio mwingine ni IRON L A D Y......JIMENAAAAA![]()
![]()
![]()
![]()
Farijika nazo siku hii ya Eid dadake...one love na peace sanaaAsante sana kwa kunipa heshima kubwa sana ya udhamini..
Pia hizo quotes nazo ni shidaaaa
Maneno ya faraja matupu
Mkuu unaimalizia sikukuu nyumbani ama unasubiri jua lizame kwanza?
We wa Kilimanjaro nini???Ningeiba hela nyingi sanaaaaaaaaaaa yani sijui kama mtaelewa ila nikisema nyingi namaanisha, kisha nikatokomea nazo huko ughaibuni

Pilau na spoon???Nipo Manzese acheni roho mbaya bhana nakuja kimwendokasi tiketi tyr![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........

SanaaaaUmetishaaaa![]()
Asano???Tunawahitaji akina Takuma sio wasumbufu km nyie mapapa
...........
au kwasababu wao wafupi kama wewe???

Huyu naye ukimkaribisha anazama hadi chumbani, hafai hata kwa sukari
ntake kumuladhi
Nakutaka kumuradhi mutu yanguntake kumuladhi
![]()
Hebu leo komaa uondoe hii kitu inajiita da boss hapo mkuu
ngoya kwansa
Post 50 umemwangusha bozz![]()
![]()
ngoya kwansa
Mrahaba wa madini, trillion za kodi na vitofali vya dhahabu plus meno ya elephantAliyetoka madarakani kashazikomba zote sa sijui we ungekomba zipi??![]()

Kama hujawahi kuitwa Boss,
Tengeneza folder kwenye Pc halafu Lipe jina Boss then lidelete. Ukitaka kudelete utaulizwa '' do you want to delete this folder Boss''

Ongezaga musiku ya kuishi, na kumuondoa kumaladhi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimecheka sana papaa

Unanusa zaidi ya nzi!Mkinipa huo urais ndo mtajua kuwa hela huwa zipo serikalini au hàkuna

Smart sana huyu kjMrahaba wa madini, trillion za kodi na vitofali vya dhahabu plus meno ya elephant![]()