Makapuku Forum

Makapuku Forum

CHEMUSHA MBONGO!!!


Hivi ungepewa Urais kwa 30 days ungefanya nini???


Mosi, hakuna raisi wa siku thelathini.
Pili, huo utakuwa ni uvunjivu na matukano makubwa kabisa dhidi ya katiba ya Jamhuri ya muungano wa watu wa Tanzania.
Tatu, hiyo ityakuwa ni fedheha na matusi makubwa dhidi ya watu wa Tanganyika na Zanzibar.

Nne, kiuhalisia hakuna mtu yoyote ndani ya Jamhuri mwenye uwezo wa kupendekeza, kupigia kura, kuapisha na kukubali kuongozwa na huyo raisi wa siku thelethini.
 

Mosi, hakuna raisi wa siku thelathini.
Pili, huo utakuwa ni uvunjivu na matukano makubwa kabisa dhidi ya katiba ya Jamhuri ya muungano wa watu wa Tanzania.
Tatu, hiyo ityakuwa ni fedheha na matusi makubwa dhidi ya watu wa Tanganyika na Zanzibar.

Nne, kiuhalisia hakuna mtu yoyote ndani ya Jamhuri mwenye uwezo wa kupendekeza, kupigia kura, kuapisha na kukubali kuongozwa na huyo raisi wa siku thelethini.
Hahahaa mwana sheria wetu umejibu vyema, ungempa majibu ya kizushi tu kwani swali nalo lakizushi
 
Habari zenu Makapuku
a41de79c6a58017cb81c35427fdcf739.jpg
 
Mosi, hakuna raisi wa siku thelathini.
Pili, huo utakuwa ni uvunjivu na matukano makubwa kabisa dhidi ya katiba ya Jamhuri ya muungano wa watu wa Tanzania.
Tatu, hiyo ityakuwa ni fedheha na matusi makubwa dhidi ya watu wa Tanganyika na Zanzibar.

Nne, kiuhalisia hakuna mtu yoyote ndani ya Jamhuri mwenye uwezo wa kupendekeza, kupigia kura, kuapisha na kukubali kuongozwa na huyo raisi wa siku thelethini.
Umemjibu sawia kabisa, mi nlijua anahitaji jibu la kizushi
 
Werrason naskia una mgogoro wa ndoa hata unnyummba hupati, fanya haya kurejesha ndoa;
Leo urudi mapemaaa hom, jambo la kwanza ukionana na mkeo popote mupe makiss kiss kibao halafu mwambie nimerudi mapema coz nimekumiss sanaaa, mkumbatie, halafu....
 
Eti ulisomea ili uone vifichwavyo[emoji23] [emoji23] [emoji443]
Werrason hawa viumbe wamepewa mvuto wa pekee, huwezi kwepa, wala hakuna kidume asiyevutiwa navyo, na wakikukamata vizuri utatoa vyote, na utaambulia kuingia na nakutoka(swing swing pekee)
Penda sana hawa viumbe[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Umespesholaiz kwa wamama[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom