Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Rambo jamanii[emoji3] [emoji3] [emoji3]Leo katika Historia:
1946 - Sylvester Stallone " Rambo " anazaliwa.
Nimekumbuka enzi ya kuangalia video kwa watu
Rambo jamanii[emoji3] [emoji3] [emoji3]Leo katika Historia:
1946 - Sylvester Stallone " Rambo " anazaliwa.
Malawi nasisi hatuchekani..Leo katika Historia:
1964 - Siku ya Uhuru wa Malawi
Hii mambo ni shiiidaLeo katika Historia:
1947 - Bunduki ya AK 47 yatengenezwa rasmi huko Urusi.
Kumbe Bush huyu??? Mi nilijua Bush baba
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115]Biafra gan hyo au pale kinondoni??
Ok poa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115]
Sema kuanzia 2 nao ni wakoAaahahaha
Uyo katunga tuuu usi mskilize
We namba 1,
2 vitu vngnevoo tyuuu
Hahaha jimena nilitania tu, naona umesimamia hizo namba kwa kuchaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Yote 9 kumi ni hizo .........
Sijui zinasimama badala ya nini[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Umbwa ni nin briz!!!!Ndo ujifunze kula umbwa sasa
Angaliaga birth dateKumbe Bush huyu??? Mi nilijua Bush baba
Hivi hamkulala nyie?Haaha
Aaah kdogo
Hahaha, cm yake tcra wamelifunga labdaKuna yule kapuku anaitwa Ibrahim msuya nlikuaga naona ndo ana jeuri ya kutupia picha zake hapa
Namba 2 labda[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Simu yako mtu anawezaje kufuta picha???
Wewe uko[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Usipende kuweka mambo mabaya moyoni....... Only good memories
Hakika wew ni dada wa maana sana, nimekupenda zaidiDuu.... Anza kuacha hiyo tabia sasa maana umeshajua kuwa sio nzuri
Chukua kalamu na karatasi kisha andika hivi
Mfano:
Wewe Szczesny unasamehe kila mtu aliekukosea, huweki kinyongo moyoni
Wala huna kinyongo na mtu yoyote, unasamehe na kusahau kabisa na unaishi kwa furaha
Wala huweki kinyongo,
Kisha uwe unasema hayo maneno kila unapopata muda.... Ikipita mwezi kama utafanya hayo kwa kumaanisha basi utakuja kutoa ushuhuda hapa hapa
Unaweza pia kurekodi kisha uwe unasikiliza
Kigamboni kubwa mzee, sehem gan?Leo makapuku wenzangu, yoyote aliye mitaa ya kigamboni, tuonane.. Unakaribishwa nyumban kupata chochote kitu
Asante mkuu, pamoja sanaHongera sana mkuu...