Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,735
- 26,079
Aka Simbaaaa[emoji249]Hahaa poapoa chibu, tumekusoma
Aka Simbaaaa[emoji249]Hahaa poapoa chibu, tumekusoma
Wenzio huko ulaya wanakusanya hela mpaka miaka 10 kwenda serengeti we unataka kumpeleka Jimena huko morocco kushangaa magorofa, muulize kwanza ye mwenyewe anapatamani serengeti... tii kiu yake plsHahaha
Serengeti!!! Sijafulia kias hko
Mbona umeguna sasa?Mhh
Cc Jimena
Safi sanaa, napenda watu wasiri kama nyieSawa basi hatumwambii mtu
Watu wa kawaida kabsa yaan hata usijaliiMmmmhhhh haya
Usisababishe mwenzio akafukuzwa na mbwa[emoji134] [emoji134]Ukifika ulizia white house utaletwa hadi kwangu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Min al faidhin[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji81]Ukifika ulizia white house utaletwa hadi kwangu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]Safi sanaa, napenda watu wasiri kama nyie
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
EnjoyWatu wa kawaida kabsa yaan hata usijalii
Rafik zangu tuu
Mfano vitu gani?? Hebu vitaje?Aaahahaha
Uyo katunga tuuu usi mskilize
We namba 1,
2 vitu vngnevoo tyuuu
Thanx, ntakuwepo siku mbili unitembeleeKaribu hapo kwenye Bold[emoji121]
AaaahEnjoy
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] basi yesheeeeHaaaa
Kumbe ndo alo sema mwende!
Yaan huyu mi kuto kuepo hapa msaa kadhaa tuu asha anza wizi!!
Ata shughulikiwa
Rafik zangu, majirani, .....Mfano vitu gani?? Hebu vitaje?
Nlikuwa sja elewaa[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] basi yesheeee
Hahaha wala sishangai.. Sie wabongo bana yan hapo ni sawa na mbongo akiwa na vijisenti kutwa kucha na mamifuko ya supermarket sijui uchumi au maisha wakati huko kwa wenzetu wanaoenda supermarket ndo kipato cha kawaida, hizo ndo mbwembwe za SzczesnyNilijua ni utalii tu wa Nyumbani kumbe briz kafulia? Basi atasubiri sana