Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha wala sishangai.. Sie wabongo bana yan hapo ni sawa na mbongo akiwa na vijisenti kutwa kucha na mamifuko ya supermarket sijui uchumi au maisha wakati huko kwa wenzetu wanaoenda supermarket ndo kipato cha kawaida, hizo ndo mbwembwe za Szczesny
Wenzenu kina nani!!?

Halafu uache kumpa ofa jimena wangu nkiwa sipo
[emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379]

Huko serengeti hatujafulia kias hko
 
1cd510360ea949ba72e88c13ca32f8ec.jpg
 
Wenzenu kina nani!!?

Halafu uache kumpa ofa jimena wangu nkiwa sipo
[emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379]

Huko serengeti hatujafulia kias hko
Wenzenu huko mnakotaka kwenda, mi simtangazii ofa Jimena inatokea tu tunakua tumeclik kwenye interest flan flan tu
 
Back
Top Bottom