Makapuku Forum

Makapuku Forum

eb367d73812d1f7a5e1a07070b59a822.jpg
 
Number 1, Kirstenbosch, Cape Town, South Africa
ef3fa26fa1e78135df21cc58b05fef2e.jpg
ikiwa ina zaid ya aina 22,000 za maua ilianzishwa mwaja 1913 huko Pretoria kwa ajili ya kutunza aina fulan ya maua yaliyo kuwa yakihisiwa yana weza kupotea kwenye uso wa dunia, amini usiamini hii ndo Botanical Garden ya kwanza kabisa duniani

Ina maua yanayo itwa Restoss na huzaliana kwa kupata aina yyte ya moshi kwa hiyo bustan hii mara nyingi huwa na kuwashwa moto ili kuwezesha maua hayo yazaliane
Maua mengi rangi tofautitofauti(crazy coluors), haivutii sana kuchill hapo inawafaa sana hao mabotanists
 
Aaah [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Siyo kubembeleza kuwa rejesha tuu mkuu
Hata wawe wana kuja mara moja moja kama kina Liz na Th Name au kama kina Manuu
Itakuwa poa
Sumba yupo kwenye thread nyingine huko
Tofautisha kuwa BUSY na kukaushia thread........
Th Name anakujaga mara mojamoja ndo style yake tangu zamani
..............
 
Back
Top Bottom