Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi gharama za tent ni pesa ngapi?? Na pocket money isipungue tshs ngapi kwa mfano??
Haizidi 5,000 kwa siku, but usipokwenda nayo ukifika kule mbugani utatozwa kuanzia dollar 20 per night hadi dollar 30 kwa luxury tent, chakula mara nyingi tunaandaa lunch box inakuwa ni cheaper kuliko kununua hotel za mbugani hazifai, so tunakuwa vyakula fresh vya kupika na mabread, matunda huku day wani unakuwa na luch box
 
Hapo sawa mkuu, ninauzoefu wa kutosha kwa mbuga hizi za kaskazini na Mikumi, safari kama hii ni ya matajiri wakubwa tena kwa chopa, vinginevyo hutaweza
Kwa wanaotaka kutumia mda mfupi ndo wanatumia chopa na ni expensive sana lakin binafsi naona kwa gari ndo mtu unaenjoy zaid unaiona view kwa karibu zaidi huku mnatembea taratibu
 
Kwa wanaotaka kutumia mda mfupi ndo wanatumia chopa na ni expensive sana lakin binafsi naona kwa gari ndo mtu unaenjoy zaid unaiona view kwa karibu zaidi huku mnatembea taratibu
Ni kweli lakini inachosha, nimewahi kufanya safari ya siku 7, kwa kweli haifai, siku 4 ndo wastani mzuri briz
 
Dah kweli ni ndogo, ina kitu gani unique??
Ina makumbusho ya ndege aina nyingi sana walohifadhiwa kitaalam, black and white collubus, wanyama aina mbalimbali kwenye uwanda uitwao serengeti ndogo, ina kreta, maziwa madogomadogo, inavutia kiasi chake...bila kusahau kupanda mlima Meru
 
Ni kweli lakini inachosha, nimewahi kufanya safari ya siku 7, kwa kweli haifai, siku 4 ndo wastani mzuri briz
Dah huwezi kuamini nikikwambia hiyo safari haikunichosha hata kidogo ila sa hivi nikisafiri labda dar-kigoma moja kwa moja naamini ntachoka zaidi ya zile wiki mbili.. Labda kwasabu napenda sana adventures, kiukweli yale mazingira yalikua yananipa energy flani hivi afu kipande kinachochosha ni kuanzia atusha mjini mpaka pale tarangire na kuanzia manyara mpaka ngorongoro ila mkiishaingia mbugani mnaenjoy tu na kuna sehemu mnashuka na kutembea kidogo
 
Dah huwezi kuamini nikikwambia hiyo safari haikunichosha hata kidogo ila sa hivi nikisafiri labda dar-kigoma moja kwa moja naamini ntachoka zaidi ya zile wiki mbili.. Labda kwasabu napenda sana adventures, kiukweli yale mazingira yalikua yananipa energy flani hivi afu kipande kinachochosha ni kuanzia atusha mjini mpaka pale tarangire na kuanzia manyara mpaka ngorongoro ila mkiishaingia mbugani mnaenjoy tu na kuna sehemu mnashuka na kutembea kidogo
Labda sababu ilikuwa mara ya kwanza, hata hivyo umepitia njia nzuri, kuna njia ya longido, kupitia natron, loliondo hadi serengeti cleins gate ni balaaa
 
Back
Top Bottom