Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ina makumbusho ya ndege aina nyingi sana walohifadhiwa kitaalam, black and white collubus, wanyama aina mbalimbali kwenye uwanda uitwao serengeti ndogo, ina kreta, maziwa madogomadogo, inavutia kiasi chake...bila kusahau kupanda mlima Meru
Aisee! pako vizuri kumbe, ushawah panda mlima braza? Natamani nipande mlima ila nianze kilimanjaro kwanza
 
Haizidi 5,000 kwa siku, but usipokwenda nayo ukifika kule mbugani utatozwa kuanzia dollar 20 per night hadi dollar 30 kwa luxury tent, chakula mara nyingi tunaandaa lunch box inakuwa ni cheaper kuliko kununua hotel za mbugani hazifai, so tunakuwa vyakula fresh vya kupika na mabread, matunda huku day wani unakuwa na luch box
Hapo nimepata picha
 
Maybe...hiyo njia ya loliondo nilihadithiwa naskia ni balaa
Mkuu nchi hii inavivutio vingi balaa, kabla hujafika natron kuna bonde paaana sana pembeni ya mlima oldonyo lengai, kuna wanyama weengi sana, ukimdanganya mgeni kuwa ni serengeti ataamini, baada ya natron iliyopambwa na ndege aina ya flamingo, kuna kilima chenye kona 17 kimepambwa na mawe/ majabali yamejipanga kama tofali yanavutia hakuna mfano
 
Mkuu nchi hii inavivutio vingi balaa, kabla hujafika natron kuna bonde paaana sana pembeni ya mlima oldonyo lengai, kuna wanyama weengi sana, ukimdanganya mgeni kuwa ni serengeti ataamini, baada ya natron iliyopambwa na ndege aina ya flamingo, kuna kilima chenye kona 17 kimepambwa na mawe/ majabali yamejipanga kama tofali yanavutia hakuna mfano
Halafu eti ni nchi masikini[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
[emoji41] huyu fundi aliyepaka rangi huu ukuta wa hospital ya muhimbili mnamfahamu?
bb53ae72898b1e41984beeab508a1678.jpg
 
Mkuu nchi hii inavivutio vingi balaa, kabla hujafika natron kuna bonde paaana sana pembeni ya mlima oldonyo lengai, kuna wanyama weengi sana, ukimdanganya mgeni kuwa ni serengeti ataamini, baada ya natron iliyopambwa na ndege aina ya flamingo, kuna kilima chenye kona 17 kimepambwa na mawe/ majabali yamejipanga kama tofali yanavutia hakuna mfano
Tanzania ni nchi inayovutia sana kuna mtu aliwah kuniambia kwa uzuri huu tanzania ndo ile nchi inayotajwa kwamba ni ya ahadi... Hao flamingo wanapendezesha sana ziwa manyara pia na kuna science moja nilipewa pale jinsi hao ndege wanavyopata prey yao kwenye maji ni noma sana wale maprofessional tourguide wanajua sana aisee
 
Tanzania ni nchi inayovutia sana kuna mtu aliwah kuniambia kwa uzuri huu tanzania ndo ile nchi inayotajwa kwamba ni ya ahadi... Hao flamingo wanapendezesha sana ziwa manyara pia na kuna science moja nilipewa pale jinsi hao ndege wanavyopata prey yao kwenye maji ni noma sana wale maprofessional tourguide wanajua sana aisee
Uko sahihi, ukitembelea kule unahisi ka vile uko nje ya tz kumbe...
 
Back
Top Bottom