Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na mi ngoja nijitutumue kama Szczesny hapa nisibaki nyuma ujiandae tutafute vacation twende hahaa uzuri hifadhi za upande wa kaskazini ni kama zimepangana hivi ukipata kampuni nzuri wanaanzia tarangire, manyara, ngorongoro unamalizia na serengeti
Safari kama hii mkuu huwezi enjoy mkuu niamini, najua nisemacho, kumbuka barabara zote ndani ya mbuga ni rafu road na huruhusiwi kuendesha gari spidi zaidi ya 50km/hr. Na mbugani nyakati nzuri za kuona wanyama ni asubuhi na jioni hivyo safari kama hii huwezi ona baadhi ya wanyma kwani dereva atakuwa ana rush kukamilisha ratiba tu
 
Nakuombea upate mke mwema km Ray C halafu mzae mtoto nzuri km James
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
............
Nakuombea uwe baba bora km huyu[emoji116]
682328905308059947c4395923439b06.jpg
 
Na mi ngoja nijitutumue kama Szczesny hapa nisibaki nyuma ujiandae tutafute vacation twende hahaa uzuri hifadhi za upande wa kaskazini ni kama zimepangana hivi ukipata kampuni nzuri wanaanzia tarangire, manyara, ngorongoro unamalizia na serengeti
Asanteee

Sasa naanza maandalizi hapa ili vacation ikifika nifanye utalii
 
Daaaa ilikuwa ofa?
Kwani ni vigumu sana kuwa na safari ya namna hiyo, kijografia huwezi arrange safari kama hiyo labda utumie chopa.
Kwenda tarangire inawe kuwa safari ya ck mbili, utalazimika urudi makuyuni ndipo uende manyara national park nayo ck moja na utalala karatu, kesho yake uamkie ngorongoro, then uelekee serengeti ufike jioni sana, kesho yake ndipo uanze kutalii, na utalazimika kulala, ndipo uanze safari ya kurejea Arusha ufike usiku, then next day uelekee Arusha national park. Safari hii sio rafiki huwezi enjoy utachoka sana mkuu
Haha ndio mkuu, it was a kind of offer nna ndugu yangu yupo kwenye moja ya hayo makampuni alinionganisha kwenye safari moja na wageni wa nje, haikuwa ya presha kama unavyodhani tarangire tilispend siku mbili tukalala mto wa mbu tukaamkia manyara nako ni padogo tuliispendi siku moja tukaamsha ngorongoro next day ambako tulispend kama siku nne siku baada ya hapo tukaenda serengeti, kwa ujumla tulispendi kama wiki mbili na siku kadhaa
 
Back
Top Bottom