Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,299
Asante my..Tutadondoka baby....
Asante my..Tutadondoka baby....
NajifunzaSafari kama hii mkuu huwezi enjoy mkuu niamini, najua nisemacho, kumbuka barabara zote ndani ya mbuga ni rafu road na huruhusiwi kuendesha gari spidi zaidi ya 50km/hr. Na mbugani nyakati nzuri za kuona wanyama ni asubuhi na jioni hivyo safari kama hii huwezi ona baadhi ya wanyma kwani dereva atakuwa ana rush kukamilisha ratiba tu
Hilo jina la hilo jiji latisha my sweetheartNini waridi?[emoji23]
Hiki kitoto nacho kama kizeeNakuombea uwe baba bora km huyu[emoji116]![]()
Ndo mana inabidi ukodi kampuni kwasabu ndo wanakupa kuanzia dereva mzoefu pamoja na tour guide mzoefu anayejua simba anapatikana chaka gani na mda gan hali kadhalika na wanyama wengine... Ni kweli mbugani mwendo ni polepole lakin kwa matour guide wazoefu mnaenda kwenye targets tu hivyo mnasave sana mudaSafari kama hii mkuu huwezi enjoy mkuu niamini, najua nisemacho, kumbuka barabara zote ndani ya mbuga ni rafu road na huruhusiwi kuendesha gari spidi zaidi ya 50km/hr. Na mbugani nyakati nzuri za kuona wanyama ni asubuhi na jioni hivyo safari kama hii huwezi ona baadhi ya wanyma kwani dereva atakuwa ana rush kukamilisha ratiba tu
Nilitaka awe shemejio nikapigwa la kisiginoJamani y?
Mhhh [emoji4] [emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] Napenda sana, nawe si wapenda kunipa?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo sawa mkuu, ninauzoefu wa kutosha kwa mbuga hizi za kaskazini na Mikumi, safari kama hii ni ya matajiri wakubwa tena kwa chopa, vinginevyo hutawezaHaha ndio mkuu, it was a kind of offer nna ndugu yangu yupo kwenye moja ya hayo makampuni alinionganisha kwenye safari moja na wageni wa nje, haikuwa ya presha kama unavyodhani tarangire tilispend siku mbili tukalala mto wa mbu tukaamkia manyara nako ni padogo tuliispendi siku moja tukaamsha ngorongoro next day ambako tulispend kama siku nne siku baada ya hapo tukaenda serengeti, kwa ujumla tulispendi kama wiki mbili na siku kadhaa
Kizazi cha kambaleHiki kitoto nacho kama kizee
Mliinjoy sana inaonyeshaHaha ndio mkuu, it was a kind of offer nna ndugu yangu yupo kwenye moja ya hayo makampuni alinionganisha kwenye safari moja na wageni wa nje, haikuwa ya presha kama unavyodhani tarangire tilispend siku mbili tukalala mto wa mbu tukaamkia manyara nako ni padogo tuliispendi siku moja tukaamsha ngorongoro next day ambako tulispend kama siku nne siku baada ya hapo tukaenda serengeti, kwa ujumla tulispendi kama wiki mbili na siku kadhaa
Hapo bado kaka, kiporo hicho[emoji23] [emoji23]So Arusha national park hujaenda kwa black and white collubus!
Mbona waguna kakaake?Mhhh [emoji4] [emoji4]
Na sikupi tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] Napenda sana, nawe si wapenda kunipa?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaaaani [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Kizazi cha kambale
Tatizo la hawa mabwana huwa hawawezi kufanya mazingaombwe ya maendeleo... Ni mambo ya kulogana tuBasi afanye mambo uchumi wetu ukue na kuwa namba 1 afrika
Hii ya momela/arusha park ni ndogo sana, unaenda asubuhi na by saa 9 mchana unarejea usa river, ni ndogo na ni nzuri kiasiHapo bado kaka, kiporo hicho[emoji23] [emoji23]
Unasema tu hapa, acha nikusitiriNa sikupi tena
Hapo ndo walipokosa maanaTatizo la hawa mabwana huwa hawawezi kufanya mazingaombwe ya maendeleo... Ni mambo ya kulogana tu
Hivi gharama za tent ni pesa ngapi?? Na pocket money isipungue tshs ngapi kwa mfano??Jamani y?
Unibebage kwa briefcase ukienda tena mpenziHii ya momela/arusha park ni ndogo sana, unaenda asubuhi na by saa 9 mchana unarejea usa river, ni ndogo na ni nzuri kiasi