Makapuku Forum

Makapuku Forum

Safari kama hii mkuu huwezi enjoy mkuu niamini, najua nisemacho, kumbuka barabara zote ndani ya mbuga ni rafu road na huruhusiwi kuendesha gari spidi zaidi ya 50km/hr. Na mbugani nyakati nzuri za kuona wanyama ni asubuhi na jioni hivyo safari kama hii huwezi ona baadhi ya wanyma kwani dereva atakuwa ana rush kukamilisha ratiba tu
Najifunza
 
Nakuombea uwe baba bora km huyu[emoji116]
682328905308059947c4395923439b06.jpg
Hiki kitoto nacho kama kizee
 
Safari kama hii mkuu huwezi enjoy mkuu niamini, najua nisemacho, kumbuka barabara zote ndani ya mbuga ni rafu road na huruhusiwi kuendesha gari spidi zaidi ya 50km/hr. Na mbugani nyakati nzuri za kuona wanyama ni asubuhi na jioni hivyo safari kama hii huwezi ona baadhi ya wanyma kwani dereva atakuwa ana rush kukamilisha ratiba tu
Ndo mana inabidi ukodi kampuni kwasabu ndo wanakupa kuanzia dereva mzoefu pamoja na tour guide mzoefu anayejua simba anapatikana chaka gani na mda gan hali kadhalika na wanyama wengine... Ni kweli mbugani mwendo ni polepole lakin kwa matour guide wazoefu mnaenda kwenye targets tu hivyo mnasave sana muda
 
Haha ndio mkuu, it was a kind of offer nna ndugu yangu yupo kwenye moja ya hayo makampuni alinionganisha kwenye safari moja na wageni wa nje, haikuwa ya presha kama unavyodhani tarangire tilispend siku mbili tukalala mto wa mbu tukaamkia manyara nako ni padogo tuliispendi siku moja tukaamsha ngorongoro next day ambako tulispend kama siku nne siku baada ya hapo tukaenda serengeti, kwa ujumla tulispendi kama wiki mbili na siku kadhaa
Hapo sawa mkuu, ninauzoefu wa kutosha kwa mbuga hizi za kaskazini na Mikumi, safari kama hii ni ya matajiri wakubwa tena kwa chopa, vinginevyo hutaweza
 
Haha ndio mkuu, it was a kind of offer nna ndugu yangu yupo kwenye moja ya hayo makampuni alinionganisha kwenye safari moja na wageni wa nje, haikuwa ya presha kama unavyodhani tarangire tilispend siku mbili tukalala mto wa mbu tukaamkia manyara nako ni padogo tuliispendi siku moja tukaamsha ngorongoro next day ambako tulispend kama siku nne siku baada ya hapo tukaenda serengeti, kwa ujumla tulispendi kama wiki mbili na siku kadhaa
Mliinjoy sana inaonyesha
 
Back
Top Bottom