Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji41] huyu fundi aliyepaka rangi huu ukuta wa hospital ya muhimbili mnamfahamu?
bb53ae72898b1e41984beeab508a1678.jpg
Hatari sana huyo fundi
 
Afu naskia hakuna gharama sana kwa mtanzania, ntatafuta info zaid ikiwezekana mwakani na mi nipande
Kwa urahisi una join safari tu, ukodishe vifaa vya baridi na kupandia mlima, ubebe vyakula, gharama haizidi laki 2
 
Mi pia nakubali gari kwa safari kama hizo
Jimena wale wa chopa wakitua mbugani wanaanza kutembelea gari, isipokuwa wanapunguza mda wa kuwa barabarani, kwani kutoka arusha hadi serengeti ni mwendo wa siku nzima, arusha tarangire, saa 3, arusha manyara saa 2/3, arusha ngorongoro saa 4
 
Back
Top Bottom