Makapuku Forum

Makapuku Forum

50244e425d751f1281c9def0881b19f2.jpg
 
Ndio mkuu kampuni nyingi zinazopeleka watalii huko zinakupitisha hifadhi zote hizo mi nlianzia tarangire, manyara, ngorongoro nikamalizia na serengeti
Daaaa ilikuwa ofa?
Kwani ni vigumu sana kuwa na safari ya namna hiyo, kijografia huwezi arrange safari kama hiyo labda utumie chopa.
Kwenda tarangire inawe kuwa safari ya ck mbili, utalazimika urudi makuyuni ndipo uende manyara national park nayo ck moja na utalala karatu, kesho yake uamkie ngorongoro, then uelekee serengeti ufike jioni sana, kesho yake ndipo uanze kutalii, na utalazimika kulala, ndipo uanze safari ya kurejea Arusha ufike usiku, then next day uelekee Arusha national park. Safari hii sio rafiki huwezi enjoy utachoka sana mkuu
 
Tuache wivu & chuki zisizo na maana
Mafanikio ya fulani yatakuathiri nini ktk maisha yako ?
Chuki mbaya
Mfn hai unaonekana JF Mafanikio ya hii thread yanawanyima watu raha & usingizi
............
Wivu ni tabia, tena mbaya na haita kaa wivu uishe, labda mtu akijitambua ndipo ajizoeshe kuacha
 
Back
Top Bottom