briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ni kweli kabisa hii ishu kenya wanafaidika zaid ingawa hao nyumbu wanakaa muda mrefu zaid upande wa tanzania, wakenya wana-take adventage pale hao nyumbu wanapohamia upande wa kenya masai maraMy wii hiyo ni amazing sanaaa
Sema TUKO nyuma sana ku advertise utalii wetu, Kenya wanapata sana watalii kwa hiyo issue ya uhamaji WA wanyama na inatokea kila mwaka