Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Tuko poa shem cjui weweHello
Mko poa????
Tuko poa shem cjui weweHello
Mko poa????
Karibu kwa michango zaid na mzee wa 10 na bitoz endeleeni na ratiba(3) Duma (cheetah) ni mnyama mwenye mwendo kasi kuliko wanyama wote. Ana uwezo wa kukimbia kwa maili 68/kwa saa sawa na km 108.8/kwa saa.
Hii ni kutokana na kuwa na miguu mirefu inayomwezesha kukimbiaView attachment 361610
(3) Duma (cheetah) ni mnyama mwenye mwendo kasi kuliko wanyama wote. Ana uwezo wa kukimbia kwa maili 68/kwa saa sawa na km 108.8/kwa saa.
Hii ni kutokana na kuwa na miguu mirefu inayomwezesha kukimbiaView attachment 361610

(3) Duma (cheetah) ni mnyama mwenye mwendo kasi kuliko wanyama wote. Ana uwezo wa kukimbia kwa maili 68/kwa saa sawa na km 108.8/kwa saa.
Hii ni kutokana na kuwa na miguu mirefu inayomwezesha kukimbiaView attachment 361610

Safi mkuu, umeongeza utamu
Safi sana mkuuKaribu kwa michango zaid na mzee wa 10 na bitoz endeleeni na ratiba
Ok, vipi uko poa lakini?
Niko mdogo mdogo
Natumai wote mko poa sana..... Nimefurahi kuona uwepo wenu hapaZa jion wakuuu
Mmeshinda adje!!?
TaiJe wajua?
Tai ni ndege mwenye uwezo wa kuona mbali kushinda ndege wote, na inasadikika kuwa ana uwezo wa kuona mara 4 ya uwezo wa kuona wa binadamuView attachment 361594
yake kibokoIko siku ntalitembelea hili daraja.. Acha nimake(2)Danyang-kushan ndilo daraja refu kuliko yote duniani, liko nchini China, lenye urefu wa maili 102.4 sawa na km 165.
Lilifunguliwa mwaka 2011
![]()
Nilikuwa nadhani Jaguar ndio kiboko kumbe cheetah ni shida(3) Duma (cheetah) ni mnyama mwenye mwendo kasi kuliko wanyama wote. Ana uwezo wa kukimbia kwa maili 68/kwa saa sawa na km 108.8/kwa saa.
Hii ni kutokana na kuwa na miguu mirefu inayomwezesha kukimbiaView attachment 361610
MugabeUnapewa number na dem alaf
anakuambia uwe unampigia saa 6 usiku pekee,
unashindwa na unajiuliza ni kwanini? kidogo kidogo
ukichunguza na unagundua amekusave
"alarm".......![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Robert Mugabe.

AaahIko siku ntalitembelea hili daraja.. Acha nimake
Ni balaaTaiyake kiboko
Kwani mpira si mpaka nne na nusu?? Saa za Afrika mashariki??Top 10 sasa nahis kama zimechelewa na mpira ndo unafuata hivo
Wakuu
Ututumie pichaIko siku ntalitembelea hili daraja.. Acha nimake