Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa siku zote huwa tuna panga gharama za harusi na kamati na ishu kama hizo
Lakini pia tuna waombea maharusi waishi pengine milele kabisa
Lakin pia watu hao wanapo gombana na kuachana officially inakuwepo kitu inaitwa talaka

Talaka nayo ina gharama zake na hutegemea na wanaopeana talaka wenyewe
 
So leo nna tuna cheki
Talaka ambazo zimekuwa za gharama kubwa kuliko zotee, na zina husisha pesa ambayo aliyekuwa mke alipewa

Yaan the most expensive divorce settlements in the world.

Pesa hizi ni za kimarekani so dola moja ni sawa na shillingi za ki tz 2000 na zaid

Mta kalukuleti hapo
Karibu
 
So leo nna tuna cheki
Talaka ambazo zimekuwa za gharama kubwa kuliko zotee, na zina husisha pesa ambayo aliyekuwa mke alipewa

Yaan the most expensive divorce settlements in the world.

Pesa hizi ni za kimarekani so dola moja ni sawa na shillingi za ki tz 2000 na zaid

Mta kalukuleti hapo
Karibu
Waiting......
Uwe unachaji simu mapema lol..
 
Number 10, Michael na Maya Polsky – USD 184 million
Michael Polsky was the owner
f48ad890dccbbd553598e7d0280ac23e.jpg

michael alikuwa ana kampuni ya kuuza umeme ya skygen huko Illinois na baadaye akaiuza kwa usd 450 milioni, na mnamo mwaka 2003 Maya alidai talaka na aka sema ana hitaji wapigane pasu kwa pasu kupitia mwana sheria wake, kwani alidai alipo olewa na Michael bado muoaji alikuwa ni masikini na ametajirika wakiwa ndani ya ndoa

Jaji alikubali na bibie Maya akala kutita ambacho anaendelea kutumbua hata hivi leo
 
Sasa siku zote huwa tuna panga gharama za harusi na kamati na ishu kama hizo
Lakini pia tuna waombea maharusi waishi pengine milele kabisa
Lakin pia watu hao wanapo gombana na kuachana officially inakuwepo kitu inaitwa talaka

Talaka nayo ina gharama zake na hutegemea na wanaopeana talaka wenyewe
Interesting....
 
Number 10, Michael na Maya Polsky – USD 184 million
Michael Polsky was the owner
f48ad890dccbbd553598e7d0280ac23e.jpg

michael alikuwa ana kampuni ya kuuza umeme ya skygen huko Illinois na baadaye akaiuza kwa usd 450 milioni, na mnamo mwaka 2003 Maya alidai talaka na aka sema ana hitaji wapigane pasu kwa pasu kupitia mwana sheria wake, kwani alidai alipo olewa na Michael bado muoaji alikuwa ni masikini na ametajirika wakiwa ndani ya ndoa

Jaji alikubali na bibie Maya akala kutita ambacho anaendelea kutumbua hata hivi leo
Rahaaa
 
Number 9, Charles Edgar Fipke na Marlene Fipke – USD 200 million
ae3ada032d525f441d946d33fbe7c06e.jpg
mnamo mwaka 1991 bwana charls edga alioa, akiwa ni mmiliki wa mgodi wa almas huko Colombia, baadaye alinunua baadhi ya migodi mingine huko Canada, lakin mkewe Charles, bibi Marlene alidai talaka kwakuwa mumewe alishinda sana migodini kuliko nyumbani kwake

Jaji aliamuru Merlin apewe ma millioni hayo, lakini ilibidi bwana charls ashuke kidogo kutoka kuwa mmiliki mpaka kuwa mmiliki wa hisa kwa asilimia 29 tuu
 
Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
c8913dad941507d624f027749bc34944.jpg
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ile mikanda yeke ile anorld na jane sjui, the terminator hataree
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
 
Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
c8913dad941507d624f027749bc34944.jpg
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ike mikanda taje ile anorld na jane sjui, tge terminator hataree
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
Mungu siyo.........
Mbona mkorofi ww
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
 
Number 7, Roman na Irina Abramovich – USD 300 million
a5502efbe4a56348d5ab7c103f3a37f6.jpg
huyu ni kati ya watu matajiri 50 duniani ana utajiri wenye thamani ya USD14.6 billion, na ndiye mmiliki wa timu iliyo nusurika kushuka daraja msimu ulo pita huko England yaan Chelsea na ana visima vya mafuta huko urusi
Baada ya kuchepuka na Daria Zhukova, ambaye ni binti wa mwanasiasa mmoja huko Urusi, aliamua kumpa talaka mkewe na ili bidi amfidie na bibie irina kwa vijpesa vya kujisitiri hvo na waligawana pia baadhi ya vitu walivo miliki kwa pamoja
 
Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
c8913dad941507d624f027749bc34944.jpg
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ike mikanda taje ile anorld na jane sjui, tge terminator hataree
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
Pale faulo ilipomtajirisha beki 3
 
Number 6, Robert na Sheila Johnson – USD 400 million
2a8ef222f707d2ca69a379d4e652d6b6.jpg
walikuwa ndiyo waanzililishi wa BET ila ugomvi wao ukawa ni jinsi BET inavo wafundisha vijana wa kimarekani, Bibie Sheila hakupendezwa na vipindi hivo, kama utani utani hviii, baadaye ndiyo ikatokea talaka
Baada ya talaka hiyo baadate bwana Robert aliiuza BET kwa USD 4 billion, na hadi sasa uwa anakuka bata tuu ni mmoja ya watu matajiri huko Amerika
Naskia huwa ana kuja hata Zanzibar
 
Number 5, Mel na Robyn Gibson – USD 425 million
986da9fa46f651dd7ecdc92c0c593a69.jpg
hii ndiyo talaka yenye gharama kubwa huko Hollywood, baada tu ya mel kukubali kwamba ana mtoto na muimbaji wa ki rusi aitwaye Oksana Grigorieva. Mkewe hakusita kufuta ndoa yao ya miaka 28, kwa kuwa hawakukubakina mahakamani, ilibidi wagawane mali nusu kwa nusu, na walipo enda kumalizia kesi mahakamini
Mel aliamuliwa kutoa nusu kwa nusu mpaka kwenye movie ambazo alikuwa haja zitoa lakini ali rekod akuwa kwenye ndoa, na dola zaid ya 750,000 kila mwaka kwaajili ya malezi ya mtoto
 
Number 4, Craig na Wendy McCaw – USD 460 million
29aeaf08300f8264392e1df1bd0a8f91.jpg
jamaa alikuwa ana miliki kampuni ya simu, basi ilitokea tuu wame chokana kila mtu akachukua chake aka kiamsha
Japo baada ya talaka ilibidi Craid auze kampuni yake kwa USD 11 billioni , so now ana sihi maisha ya kawaida tuu akila bata ndogo ndogo
 
Number 2, Bernie na Slavica Ecclestone – $1.2 billion
f937f44bc44e7e9c83c50e878fcabb15.jpg
huyu jamaa ana miliki vitu vifuatavyo Formula One Management, Formula One Administration, na ni part-owner of Alpha Prema, kamouni mama ya the Formula One Group of Companies. Bernie na Slavica Ecclestone walioana mwaka 1984
Lakin sku moja Slvica aliamka tuu na kusepa na watoto wake pia akenda kudai talaka, wana sema yeye alitaka pesa zaid ya hizo, sijui alitaka afanye talaka kama mgodi!!!!
Ila ndo hivo now ana kula bata tuu na mabilioni ya talaka hayo
 
Number 9, Charles Edgar Fipke na Marlene Fipke – USD 200 million
ae3ada032d525f441d946d33fbe7c06e.jpg
mnamo mwaka 1991 bwana charls edga alioa, akiwa ni mmiliki wa mgodi wa almas huko Colombia, baadaye alinunua baadhi ya migodi mingine huko Canada, lakin mkewe Charles, bibi Marlene alidai talaka kwakuwa mumewe alishinda sana migodini kuliko nyumbani kwake

Jaji aliamuru Merlin apewe ma millioni hayo, lakini ilibidi bwana charls ashuke kidogo kutoka kuwa mmiliki mpaka kuwa mmiliki wa hisa kwa asilimia 29 tuu
Hahahaaa kweli Mungu hatakaaa awe jambilo au hata szczesny[emoji106]
Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
c8913dad941507d624f027749bc34944.jpg
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ike mikanda taje ile anorld na jane sjui, tge terminator hataree
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
 
Back
Top Bottom