Waiting......So leo nna tuna cheki
Talaka ambazo zimekuwa za gharama kubwa kuliko zotee, na zina husisha pesa ambayo aliyekuwa mke alipewa
Yaan the most expensive divorce settlements in the world.
Pesa hizi ni za kimarekani so dola moja ni sawa na shillingi za ki tz 2000 na zaid
Mta kalukuleti hapo
Karibu
Interesting....Sasa siku zote huwa tuna panga gharama za harusi na kamati na ishu kama hizo
Lakini pia tuna waombea maharusi waishi pengine milele kabisa
Lakin pia watu hao wanapo gombana na kuachana officially inakuwepo kitu inaitwa talaka
Talaka nayo ina gharama zake na hutegemea na wanaopeana talaka wenyewe
RahaaaNumber 10, Michael na Maya Polsky – USD 184 million
Michael Polsky was the owner
![]()
michael alikuwa ana kampuni ya kuuza umeme ya skygen huko Illinois na baadaye akaiuza kwa usd 450 milioni, na mnamo mwaka 2003 Maya alidai talaka na aka sema ana hitaji wapigane pasu kwa pasu kupitia mwana sheria wake, kwani alidai alipo olewa na Michael bado muoaji alikuwa ni masikini na ametajirika wakiwa ndani ya ndoa
Jaji alikubali na bibie Maya akala kutita ambacho anaendelea kutumbua hata hivi leo
Mungu siyo.........Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ike mikanda taje ile anorld na jane sjui, tge terminator hataree![]()
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
Pale faulo ilipomtajirisha beki 3Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ike mikanda taje ile anorld na jane sjui, tge terminator hataree![]()
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
Hahahaaa kweli Mungu hatakaaa awe jambilo au hata szczesny[emoji106]Number 9, Charles Edgar Fipke na Marlene Fipke – USD 200 million
mnamo mwaka 1991 bwana charls edga alioa, akiwa ni mmiliki wa mgodi wa almas huko Colombia, baadaye alinunua baadhi ya migodi mingine huko Canada, lakin mkewe Charles, bibi Marlene alidai talaka kwakuwa mumewe alishinda sana migodini kuliko nyumbani kwake![]()
Jaji aliamuru Merlin apewe ma millioni hayo, lakini ilibidi bwana charls ashuke kidogo kutoka kuwa mmiliki mpaka kuwa mmiliki wa hisa kwa asilimia 29 tuu
Number 8, Arnold Schwarzenegger na Maria Shriver – USD 250-375 million
sasa Arnold si kila mtu ana mjua ee, ike mikanda taje ile anorld na jane sjui, tge terminator hataree![]()
Pia alikuwa gavana wa California
Huyu alikuwa ana piga kimya kimya na mfanya kazi wake wa ndani wa muda mrefu bibi Mildred Baena, mara ya kwanza hakuhisi kama ni mimba yake na alimkataa mtoto
Lakini kama tunavojua Mungu si Jambilo, mtoto alivo fikisha miaka mitatu alifanana sana na mzee ikabidi akubali mchezo
Kilicho fuata ndo hikooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mungu siyo.........
Mbona mkorofi ww
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......