Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kama huwezi kuwafanya mwanga, wafanye wahisi joto lake. Maneno haya yaliwahi kutamkwa na Rais wa 40 wa Marekani, ambaye pia alikuwa muigizaji, Ronald Reagan, alikuwa Rais wa taifa hilo kubwa Duniani Kati ya mwaka 1981 hadi mwaka 1989. Alizaliwa February 23 mwaka 1911 na alifariki Dunia Juni 05,mwaka 2004
Pia alikoswa kuuliwa mwaka 1981 nadhani, baada ya kupigwa risasi iliyovunja mbavu zake na kusababisha kuvuja damu nyingi sana ndani kwa ndani.

Kama si kukimbizwa hospitali iliyokuwa karibu angefariki.

Tokea tukio hilo, kukatokea mageuzi katika gari za Rais wa Marekani ambapo kuna damu ya akiba inayoendana na Rais inahifadhiwa kwenye gari analopanda incase mambo yakiharibika anaongezewa damu fasta.
 
Pia alikoswa kuuliwa mwaka 1983 nadhani, baada ya kupigwa risasi iliyovunja mbavu zake na kusababisha kuvuja damu nyingi sana ndani kwa ndani.

Kama si kukimbizwa hospitali iliyokuwa karibu angefariki.

Tokea tukio hilo, kukatokea mageuzi katika gari za Rais wa Marekani ambapo kuna damu ya akiba inayoendana na Rais inahifadhiwa kwenye gari analopanda incase mambo yakiharibika anaongezewa damu fasta.
Asante kwa nyongeza
 
Pia alikoswa kuuliwa mwaka 1981 nadhani, baada ya kupigwa risasi iliyovunja mbavu zake na kusababisha kuvuja damu nyingi sana ndani kwa ndani.

Kama si kukimbizwa hospitali iliyokuwa karibu angefariki.

Tokea tukio hilo, kukatokea mageuzi katika gari za Rais wa Marekani ambapo kuna damu ya akiba inayoendana na Rais inahifadhiwa kwenye gari analopanda incase mambo yakiharibika anaongezewa damu fasta.
08bed6c8f140d23b8f08ac59f4abd3e2.jpg

Aliuawa mbele ya mke wake
.........
 
Kuifufua Tanganyika ni kuiua Tanzania, sikubaliani kabisa na suala hili, kwa sifa tu na uroho wa madaraka na huku wakishabikiwa na mazuzu. Maneno hayo yalitamkwa na Rais wa kwanza wa Tanzania, baba wa Taifa mwl Julius kambarage nyerere, yeye pamoja na Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Amani karume, walikuwa waasisi wa Muungano. Alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
Sio mchezo
 
Kama huwezi kuwafanya mwanga, wafanye wahisi joto lake. Maneno haya yaliwahi kutamkwa na Rais wa 40 wa Marekani, ambaye pia alikuwa muigizaji, Ronald Reagan, alikuwa Rais wa taifa hilo kubwa Duniani Kati ya mwaka 1981 hadi mwaka 1989. Alizaliwa February 23 mwaka 1911 na alifariki Dunia Juni 05,mwaka 2004
Safi mkuu

Umeumiza kichwa hapo
 
Kama huwezi kuwafanya mwanga, wafanye wahisi joto lake. Maneno haya yaliwahi kutamkwa na Rais wa 40 wa Marekani, ambaye pia alikuwa muigizaji, Ronald Reagan, alikuwa Rais wa taifa hilo kubwa Duniani Kati ya mwaka 1981 hadi mwaka 1989. Alizaliwa February 23 mwaka 1911 na alifariki Dunia Juni 05,mwaka 2004
Asante sana kwa nukuu ya leo
 
Back
Top Bottom