Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuifufua Tanganyika ni kuiua Tanzania, sikubaliani kabisa na suala hili, kwa sifa tu na uroho wa madaraka na huku wakishabikiwa na mazuzu. Maneno hayo yalitamkwa na Rais wa kwanza wa Tanzania, baba wa Taifa mwl Julius kambarage nyerere, yeye pamoja na Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Amani karume, walikuwa waasisi wa Muungano. Alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
source
 
3ec54a1617ba1c734a84dc0c0f3cba97.jpg

Interview zingine ni sawa na matusi
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
............
Ukiweza kukaa ndio unapata kazi[emoji15]
 
Kuifufua Tanganyika ni kuiua Tanzania, sikubaliani kabisa na suala hili, kwa sifa tu na uroho wa madaraka na huku wakishabikiwa na mazuzu. Maneno hayo yalitamkwa na Rais wa kwanza wa Tanzania, baba wa Taifa mwl Julius kambarage nyerere, yeye pamoja na Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Amani karume, walikuwa waasisi wa Muungano. Alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
cc06c4347fb2ba885ffc78000b1c3b9c.jpg
 
Back
Top Bottom