Makapuku Forum

Makapuku Forum

Fee kubwa

Wangeenda hata kumchukua winger wa ukweli ukweli kama texteira
Pia, jamaa ni mediocre player ana faa kuitoa tim ilo namba 11 kwenda namba 8 kama liva wana taka kuwa mbali wanunue wacgezaj wanao toa ushindani wa ki ukweli ukweli

Na mengi mengne
Mambo ya Riverfool tueaachie wenyewe
.............
 
Number 6, Vatican City
36f2ad034b4f100967e397bebc868115.jpg



Ki ujumla inaaminika Mungu ndo ana palinda hapa mahala

[emoji115] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Fee kubwa

Wangeenda hata kumchukua winger wa ukweli ukweli kama texteira
Pia, jamaa ni mediocre player ana faa kuitoa tim ilo namba 11 kwenda namba 8 kama liva wana taka kuwa mbali wanunue wacgezaj wanao toa ushindani wa ki ukweli ukweli

Na mengi mengne
Waache tu watatujua kwenye ligi
GGMU
 
Back
Top Bottom