Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 7
8f23886ea1dde1a0b7ba667472753259.jpg

Awa nao wana polisi na wana vifaa vya kawaida kabisa vya ki ulinzi wao hutegemea patrol tuu napo kwa nyakati chache
Wanategemea hawata vamiwa siku yyte wala na mtu yeyote


Hawa hujawataja mkuu watu gani hawa
 
Number 4, Solomon Islands
b38f6f51dab3d5b83cc3187f0e2d3f7d.jpg


Hawa mwanzo hawakuwa hata na jeshi rasmi la polisi bali walitegemea vikundi vya ulinzi binafsi
Mpaka ilipo tokea migogoro ya ki kabila, ili bidi majeshi ya new zealand , singapore na Australia ndo ya katulize vurugu hzo
Baada ya hapo iliundwa polisi tuu
Ila jeshi la ulinzi bado hawana
 
Namba 3, Liechtenstein
b883e9bcefacf6f61d67bae205141ff2.jpg
baada ya kuona nchi inaingia gharama kubwa kuwa na jeshi wali livunja mnamo mwaka 1968, wametunga sheria ya kulikusanya jeshi kama ikitokea vita au uvamizi , vitu ambavo havijawahi tokea

Hawa hawana hata polisi, wana kikosi kaz chenye silaha ndogo ndogo, na kikos cha upelelezi tuu
Kwa ajili ya kuendeleza amani ya jamii
 
Number 2, Grenada
81b07491aaa5d82c5a0bc510b4f4cf3c.jpg

Toka mwaka 1983, wana tegemea vikundi vya ulinzi vya watu binafsi na kikos cha upelelezi tuu

Wao kwa kuwa wako kwenye umoja wa nchi za amerika, hawategemei kuvamiwa wala kuwa na vita siku yyte, na ikitokea majeshi ya umoja yata wasaidia
 
Back
Top Bottom