Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
AaahUnakataje tamaa mapema hivyo??
Relax
Huo ndo ukweli sijaata tamaa
Nime accept reality
AaahUnakataje tamaa mapema hivyo??
Relax
Sungusungu...Mwe yani police 30 nchi nzima[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Nilijua tu itakuwa TuvaluNime kwisha edit mkuu nashukuru
Wanaitwa Tuvalu
Asante sana szczesnyAsanteni
Szczesny Carrenza hapa
Not a good day today
Adiouuuus amigooouw
Ulinzi wa kukopaNumber 8, Samoa
![]()
Hawa nao wana polisi wachache kabisa na kikosi cha upelelezi tuu
Ulinzi mkubwa wana tegemea kutoka new zealand ambao wali sain nao mkataba mwaka 1962
Hawa namba 7 wanaitwaje??Number 7 ,Tuvalu
![]()
Awa nao wana polisi na wana vifaa vya kawaida kabisa vya ki ulinzi wao hutegemea patrol tuu napo kwa nyakati chache
Wanategemea hawata vamiwa siku yyte wala na mtu yeyote
Chezea VatcanNumber 6, Vatican City
![]()
Huwa wana lindwa na Swis guards ambao ki uhakika wao kazibyao ni ulinzi katka Holy Sea jiran na Rome
Ki ujumla inaaminika Mungu ndo ana palinda hapa mahala kwa hiyo
Hata hawajawahi kusain mkataba wa kulindwa na nchi yoyote
Maelezo yapo post # 3Huu uzi unaongelea nini? Na mnapata faida zipi naona unazidi kuongeza namba ya ma meseji.
Mbona Ray hana maji pembeni au sio mda wa dozi.
Tuvalu hao nsha wawekaHawa namba 7 wanaitwaje??