Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Wametishaaa[emoji119] [emoji119] [emoji119]Number 5, Nauru
![]()
Hawa wane focus kuwa na polis wengi na kikosi cha upelelezi kikubwa
Ila hawana majeshi yoyote ya ulinzi
Wametishaaa[emoji119] [emoji119] [emoji119]Number 5, Nauru
![]()
Hawa wane focus kuwa na polis wengi na kikosi cha upelelezi kikubwa
Ila hawana majeshi yoyote ya ulinzi
Katika usajili ambao sijatambua unalenga nini
Jina la haka kanchi je??Number 4,
![]()
Hawa mwanzo hawakuwa hata na jeshi rasmi la polisi bali walitegemea vikundi vya ulinzi binafsi
Mpaka ilipo tokea migogoro ya ki kabila, ili bidi majeshi ya new zealand , singapore na Australia ndo ya katulize vurugu hzo
Baada ya hapo iliundwa polisi tuu
Ila jeshi la ulinzi bado hawana
Panafaa kabisa kuishiNamba 3, Liechtenstein
baada ya kuona nchi inaingia gharama kubwa kuwa na jeshi wali livunja mnamo mwaka 1968, wametunga sheria ya kulikusanya jeshi kama ikitokea vita au uvamizi , vitu ambavo havijawahi tokea![]()
Hawa hawana hata polisi, wana kikosi kaz chenye silaha ndogo ndogo, na kikos cha upelelezi tuu
Kwa ajili ya kuendeleza amani ya jamii
Pazurije sasaNumber 2, Grenada
![]()
Toka mwaka 1983, wana tegemea vikundi vya ulinzi vya watu binafsi na kikos cha upelelezi tuu
Wao kwa kuwa wako kwenye umoja wa nchi za amerika, hawategemei kuvamiwa wala kuwa na vita siku yyte, na ikitokea majeshi ya umoja yata wasaidia
Ikitokea shida wanakopa jeshi[emoji3] [emoji3] [emoji3]Number 1, Andorra
hawa wana jeshi la kujitolea ambalo ni "symbolic" tuu![]()
Linatumika kwenye sherehe za kitaifa
Wao wana tegemea kama siku ikitokea shda wana waita ufaransa
Tatizo lako ndio hilo....Asanteni
Szczesny Carrenza hapa
Not a good day today
Adiouuuus amigooouw
Katika usajili ambao sijatambua unalenga nini
Ni wa huyu bhana
Asante sana kwa Top 10Nime kwisha edit mkuu nashukuru
Wanaitwa Tuvalu
HahahahaTatizo lako ndio hilo....
Enjoy tu maana hata Jerry muro leo anapiga bia kama kawaida
Tutaenda huko usijaliPazurije sasa
Hitaji lao halikuwa hili kwa kweli![]()
![]()
Jamaa wanajua
Winger
.......
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Asante sana kwa Top 10
Imenibamba mno
Walihitaji nnHitaji lao halikuwa hili kwa kweli
Njema, jipe moyoZa jioni wakuu woteeee
[emoji121]..Wakimataifa mpoo?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Watu
[emoji12] [emoji12]
.......
Safi sanaTuvalu hao nsha waweka
TuvaluHawa hujawataja mkuu watu gani hawa