Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,931
Unaniita???baada ya kutoka kifungoni ninadance like thiswera wera weraaaaaaa![]()

Unaniita???baada ya kutoka kifungoni ninadance like thiswera wera weraaaaaaa![]()

Lol![]()
Relax
Waambie wanunue ufutio waifute wenyewe siyo kusumbua mods na kutoa povu lisilo na faida
........
FactKuna jamaa mmoja nilimpenda, aliwaambia wakongwe kuwa msiwaonee wageni kwa kufanya mapinduzi makubwa na ya kuigwa, badala ya kupambana nao, nanyi m buni vitu vipya...
Niliona ni mtu anayejiongeza.
Sikuhizi watu wanashindana kwa ubunifu na sio maneno au matusi.
Mfano..jimena..magazeti yameongeza hamasa kwa wasomaji wa magazeti kupitia asubuhi ili waone headlines.
Football bitoz naye anawavutia wapenzi wa mpira kwani mtu anaweza kuwa na home..so anapata updates za mchezo kilaini.
Szcseny naye amekoleza uzi kwa 10 tena.
Musolin5 naye katika historia amekolezea jukwaa letu
Kwanini wasione wivu?
Wanatamani kujiunga but wanashindwa Wanabaki kusoma na kupita kimya kimya, wivu ukiwazidi wanatapika nyongo ka yule wa asubuhi na mchana wa leo.

Cobblepots niaje mkuuNiko poa sana kaka.
HahahahSzcseny twasubiri top 10 za leo mkuu
Ndio raha ya kushabikia chama kubwaHawa Ujerumani hii sasa sifa.
Wenzaowanshinda kwa wasiwasi wao ni kipondo heavy!!
Kuna jamaa mmoja nilimpenda, aliwaambia wakongwe kuwa msiwaonee wageni kwa kufanya mapinduzi makubwa na ya kuigwa, badala ya kupambana nao, nanyi m buni vitu vipya...
Niliona ni mtu anayejiongeza.
Sikuhizi watu wanashindana kwa ubunifu na sio maneno au matusi.
Mfano..jimena..magazeti yameongeza hamasa kwa wasomaji wa magazeti kupitia asubuhi ili waone headlines.
Football bitoz naye anawavutia wapenzi wa mpira kwani mtu anaweza kuwa na home..so anapata updates za mchezo kilaini.
Szcseny naye amekoleza uzi kwa 10 tena.
Musolin5 naye katika historia amekolezea jukwaa letu
Kwanini wasione wivu?
Wanatamani kujiunga but wanashindwa Wanabaki kusoma na kupita kimya kimya, wivu ukiwazidi wanatapika nyongo ka yule wa asubuhi na mchana wa leo.
