Makapuku Forum

Makapuku Forum

28da264175cf0bb3addc4b8a7c655788.jpg


.........
 
Imewatetemesha balaa, wanatafuta pakutokea wanaona giza
Kuna jamaa mmoja nilimpenda, aliwaambia wakongwe kuwa msiwaonee wageni kwa kufanya mapinduzi makubwa na ya kuigwa, badala ya kupambana nao, nanyi m buni vitu vipya...
Niliona ni mtu anayejiongeza.
Sikuhizi watu wanashindana kwa ubunifu na sio maneno au matusi.
Mfano..jimena..magazeti yameongeza hamasa kwa wasomaji wa magazeti kupitia asubuhi ili waone headlines.
Football bitoz naye anawavutia wapenzi wa mpira kwani mtu anaweza kuwa na home..so anapata updates za mchezo kilaini.
Szcseny naye amekoleza uzi kwa 10 tena.
Musolin5 naye katika historia amekolezea jukwaa letu
Kwanini wasione wivu?
Wanatamani kujiunga but wanashindwa Wanabaki kusoma na kupita kimya kimya, wivu ukiwazidi wanatapika nyongo ka yule wa asubuhi na mchana wa leo.
 
Kuna jamaa mmoja nilimpenda, aliwaambia wakongwe kuwa msiwaonee wageni kwa kufanya mapinduzi makubwa na ya kuigwa, badala ya kupambana nao, nanyi m buni vitu vipya...
Niliona ni mtu anayejiongeza.
Sikuhizi watu wanashindana kwa ubunifu na sio maneno au matusi.
Mfano..jimena..magazeti yameongeza hamasa kwa wasomaji wa magazeti kupitia asubuhi ili waone headlines.
Football bitoz naye anawavutia wapenzi wa mpira kwani mtu anaweza kuwa na home..so anapata updates za mchezo kilaini.
Szcseny naye amekoleza uzi kwa 10 tena.
Kwanini wasione wivu?
Wanatamani kujiunga but wanashindwa nabaki kusoma na kupita kimya kimya, wivu ukiwazidi wanatapika nyongo ka yule wa asubuhi na mchana wa leo.
Usisahau na katika historia mzee mussolin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom