Fuata moyo wako unataka nini.Mkuu busara hapa hazihitajiki,zihifadhi kwa matumizi mengine ya kujenga taifa...nafikiri sitakuwa muungwana kuendelea kupretend kupenda mtu back ilihali ukweli moyo upo kwingine...wanaume wengi huoa wanawake wanaowapa furaha...ila kuna wachache huwa hufurahi kujikuta wana furaha baada ya kuoa watu wasiowapenda...nachagua A...Kuoa mtu anayenipa furaha...
Usingizi mnono dada.Usiku mwema waungwana
Kweli jamaa ana jitambua sanaKumbe..
Hivi linamo yu wapi??
AaahNiliwahi kusali pale kipindi cha nyuma sana
Poa poaAisee
Nimekumbuka enzi zile za lile kanisa
Rasphody ya mwezi huu ununue 2 moja yangu
Kila unachofanya kaa chini andika faida na hasaraMkuu busara hapa hazihitajiki,zihifadhi kwa matumizi mengine ya kujenga taifa...nafikiri sitakuwa muungwana kuendelea kupretend kupenda mtu back ilihali ukweli moyo upo kwingine...wanaume wengi huoa wanawake wanaowapa furaha...ila kuna wachache huwa hufurahi kujikuta wana furaha baada ya kuoa watu wasiowapenda...nachagua A...Kuoa mtu anayenipa furaha...
Tawire mkuu!Fuata moyo wako unataka nini.
Kila unachofanya kaa chini andika faida na hasara
Alafu amua
Uamuzi wako ndo bora ila hakuna atakaye kwambia mwache huyu nenda kwa huyu
Kipi kinaongoza.. uongo au dhambi ya kuzini?Kutoka kwa kichwa ambacho hakijadata na udini...
Usiku mwema mdau...Usiku mwema
Here i amSomebody here?
Lete fix ya kizushi bas, nataka tubishane kidogoOk, sasa ni muda wa kufanya kazi now..
Maana naona wote mmeshalala tayari
Mhh braza mpaka hapo inaonekana kabisa moyo wako bado upo kwa yule wa zamani so ni vema ukarudiana nae kuliko kuendelea kuwa nusunusu huku kwa sasa.Kama tulivyojifunza kupitia maandiko ya kwenye khanga na misemo yya kiswahili kwamba kila shehtan na mbuyu wake basi iltokea shehtani mimi nilikutana na mbuyu wangu of whom tulipendana hadi nikasema poo! Ila nahisi kuna pepo wa aina yake alipita yapata miezi kumi na moja sasa bila maelewano na kufupisha mambo nikaamua niache mambo yajiendee tu!....nikatafuta mnyonge mwenzangu tukaamua tuendelee tu kushikilia vijiti huenda tukapendana mbele kwa mbele...sasa likizo ya bila upendo ya mbuyu wangu imeisha na anataka kurudi! Ushauri, nimpokee ama nimpotezee ikizinggatiwa kwamba moyo wangu tayari upo kwenye kipindi cha mpito kujaribu kumpenda wa majaribio?