Huu ushauri ni mzuri sanaKuna mawili
Ukimwacha ulo naye now ni kama humtendei haki, ila pia kama humpendi utakuwa ume msaidia sana, ni ngum kukaa na mtu alaf madhan mtajifunza kupendana mbele huwa ni shda tuu
Unaweza ku mrudia huyo umpendaye kwa that, ila historia inaonesha watu wengi wenye tabia ya kuchana na kurudiana mzunguko huwa hivo hvo mpka mmoja aamue kuacha kwa ujumla, lakin ni vzuri kwa upande mwngne kwani ni mtu unaye mpenda, kupendwa na anaye kupenda ni raha pia
So hapo piga mahesab alaf amua
Sina sababu ya kuchunguza moyo na hata nikiunda tume maalum ya uchunguzi bado majibu yatakuja yale yale kwamba nampenda!...daah upendo hauna bouncer wadau...unaweza kupenda hadi ukajikuta unalia meeeeh kama mbuzi wa hitma!Fanya uchunguzi kama una nia ya kurudiana nae ndo ufanye maamuzi. Nafsi inahitaji nini, ndo kitu cha kufikiria. Pole sana braza.
Sawa radhi imepokelewaNaomba radhi kwa ttzo hlo
Nilikuwa sija tulia hapo
Kuna mtu aliwika kama jogoo kabisa..we unazungumzia meeSina sababu ya kuchunguza moyo na hata nikiunda tume maalum ya uchunguzi bado majibu yatakuja yale yale kwamba nampenda!...daah upendo hauna bouncer wadau...unaweza kupenda hadi ukajikuta unalia meeeeh kama mbuzi wa hitma!
Ni kwel kabisa mkuuu..Utakuta mtu analalamika hana uwezo wa kusomesha kijana wake alafu unamkuta anapelekea hela walioshiba hela..
Imani ni bora kuliko dini!!
AiseeHahaha
Sawa uta kuwa mama mchungaji
Kama Anitha mke wa pastor chris
Lazma tutoboe
Hahahahaaa.....Sina sababu ya kuchunguza moyo na hata nikiunda tume maalum ya uchunguzi bado majibu yatakuja yale yale kwamba nampenda!...daah upendo hauna bouncer wadau...unaweza kupenda hadi ukajikuta unalia meeeeh kama mbuzi wa hitma!
Kumbe..Zile ni hadithi za kututisha tu... Ila hazina ukweli
Nimeshatoa 24,312 hawezi kunifikiaHapana. Sidhani.
Kutoka kwa kichwa ambacho hakijadata na udini...Ni kwel kabisa mkuuu..
Nanukuu imani ni bora kuliko dini~Songa
Kuna mawili
Ukimwacha ulo naye now ni kama humtendei haki, ila pia kama humpendi utakuwa ume msaidia sana, ni ngum kukaa na mtu alaf madhan mtajifunza kupendana mbele huwa ni shda tuu
Unaweza ku mrudia huyo umpendaye kwa that, ila historia inaonesha watu wengi wenye tabia ya kuchana na kurudiana mzunguko huwa hivo hvo mpka mmoja aamue kuacha kwa ujumla, lakin ni vzuri kwa upande mwngne kwani ni mtu unaye mpenda, kupendwa na anaye kupenda ni raha pia
So hapo piga mahesab alaf amua
Nukuu nzuri sana braza, nimeipenda hata mimi.Ni kwel kabisa mkuuu..
Nanukuu imani ni bora kuliko dini~Songa
Lala salama..Usiku mwema waungwana
Yuko safarini, hajarudi mjini.Kumbe..
Hivi linamo yu wapi??
Nyamaza basi na usimwambie mtu.Nimshatoa 24,312 hawezi kunifikia
Upo
Ndio nimeona, asante sana