Issue tuliimaliza muda mrefu ulioputaMkuu sumbai na jambilo, Bitoz hebu hii issue tuiweke pending coz tupo immotional, tukisha relax tui-forget na kisha kuipotezea turudi kama zamani.
Tusameheanea na kila mmoja ajifunze kwa kilichotokea.
Glass zinagongana kabatini sembuse sisi???
One love, together kama kawa!!!
Strong people forgive n forget
Nilichojaaliwa ni kutokuwa na bifu nikiongea yanaisha, hata tukizipiga, tukimaliza nakusalimia, sinaga chuki japo dogo kanichokoza kitambo nimekuwa nikijifanya mjinga, werrason yameisha, wakati citagusa tena endapo ataacha ujinga, hata sasa yeye ni shahidi ninalike post zake, nimezaliwa kuwa mwanaume niyakabili haya japo simlazimishi kunyamazaMkuu sumbai na jambilo, Bitoz hebu hii issue tuiweke pending coz tupo immotional, tukisha relax tui-forget na kisha kuipotezea turudi kama zamani.
Tusameheanea na kila mmoja ajifunze kwa kilichotokea.
Glass zinagongana kabatini sembuse sisi???
One love, together kama kawa!!!
Strong people forgive n forget
Asante sana mkuuAsanten sana kwa kuwa nami, nimezipata kwa shida sana top ten za leo kwan kuna mattzo ya kimtandao
Mpaka hapo kesho wakt kama huu
Ni mimi
Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma
Adioooous amigoooouw
Missed you sana mkongooNiko poa mkuu, welcome back. I missed u bob
EehPotezea tu
Mapenzi huwa hayajifichi, hivyo yakiwepo yataonekana tu
Ni njema sana. Usiku mwema.Habari yako brother EMMYGUY.
Hahahaaa... Kwanini unasema hivyo?Utasubiri sana
Poa brother na kwako piaNi njema sana. Usiku mwema.
AnhaaaaNgoja nikumbuke....... Bitoz huyo[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Mtasubiri sanaaaaaaaaaNdo ukweli huo
[emoji106] I liked that. No one is perfect.Nilichojaaliwa ni kutokuwa na bifu nikiongea yanaisha, hata tukizipiga, tukimaliza nakusalimia, sinaga chuki japo dogo kanichokoza kitambo nimekuwa nikijifanya mjinga, werrason yameisha, wakati citagusa tena endapo ataacha ujinga, hata sasa yeye ni shahidi ninalike post zake, nimezaliwa kuwa mwanaume niyakabili haya japo simlazimishi kunyamaza
ThanksThanx, nimeacha mkuu
Kwa kina Miss powerNumber 3,Jyoti Amge - 24.7 inches
Amge alizaliwa mnamo mwaka1993 huko Nagpur, India ana ttzo linalo itwa achondroplasia
Yeye baada tuu ya kushereheka mwaka wake 1 wa birthday hakifamikiwa kukua tena zaod zaod alipungua, siku zote amekuwa akitaka kuwa muigizaji na ana ndoto ya kuchukua tuzo za Oscar zile za hollywood na amesema lazima zitimie(hayo na mwachia mwenyewe)
Pia kati ya watu wafupi huyu inaonekana ana akili kiswa sawa kwani kachaguliwa kujiunga na open university of India
Number 2, Junrey Balawing - 23.6 inches
Mnamo mwaka 2011 alipo fikisha miaka 18 alifanikiwa kueka rekodi ya kuwa mtu mfupi kuliko wote duniani, japo ilikaa kwa mwaka oja tuu,
Inasemekana ana uzoto wa takriban kilo 5 na nusu ana sadikika kuwa na ugonjwa wa endocrine- or birth-related defect. Kwa kuwa mifupa yake si migumu hawez kusimama mpaka ajishike pahala, hata hivo japo huhitaji msaada wa wazazi , akiwa nyumbani husaidia kulisha mifugo yao hasa kuku
Yeye ni wa ufilipino huko kwa kina Angelo, Yna na redburterfly
Hahahah povu la nini sasa.Mtasubiri sanaaaaaaaaa
Vitimu vyenu vibayaaaa lakini sisi hatusemi
Leo tumeshinda basi povu linawatoka
Hao andunje hatariNumber 1, Chandra Bahadur Dangi - 21.5 inches
Mnamo mwaka 2012 huyu ndo aliweka rekod kwenye kitabu cha genesis
Alizaliwa mwama 1939, ana ugonjwa wa premodial dwarfism, ambao una mfanya kila kitu kwenye mwili wake kuwa kifupi
(i mean kilaa kituu)
Na alipo ulizwa kama hakujua kuwa ni rekodi kwa miaka yote alisema kwakuwa yeye kazaliwa nepal vijijin asingweza kuwapata hao watu wa kumpima na ndugu zake wote hawajawahi kwemda shule so hawakujua kabsa mambo ya rekodi ya dunja
Na huyo ndio namba moja wa leo
Nilikumiss pia kaka. Karibu.Habar za jioni ndugu zangu makapuku
Mussolini5
Amazing&Manuu
Bitoz
Shululu
Sumbai
Jambilo
Linamo
Nyagei
Werrason
Emmyguy
Yong blood
Th name&Lizzie
Linamo
PNC1
na wengine
Niliwakumbuka and i hope mko poaa