Makapuku Forum

Issue tuliimaliza muda mrefu ulioputa
Ndo maana sihangaiki nayo
.........
 
Nilichojaaliwa ni kutokuwa na bifu nikiongea yanaisha, hata tukizipiga, tukimaliza nakusalimia, sinaga chuki japo dogo kanichokoza kitambo nimekuwa nikijifanya mjinga, werrason yameisha, wakati citagusa tena endapo ataacha ujinga, hata sasa yeye ni shahidi ninalike post zake, nimezaliwa kuwa mwanaume niyakabili haya japo simlazimishi kunyamaza
 
[emoji106] I liked that. No one is perfect.
 
Kwa kina Miss power
 
Hao andunje hatari
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…