Kifaru apigwe vita anatuharibia thread inaonekana ya kijingajinga tu wkt watu tumeumiza vichwa sijui anataka aonekane ndo kapuku mkuu ni KERO
...........
Namimi nimekumiss kwa kweli Valentina kuna list ya majina yalikuja hapa jana ya watu waliopitwa na fagio la TCRA na jina lako lilikuwepo...Ebu niambie umerudije tena hewani kwa kasi namna hii...? teh teh