Makapuku Forum

Kaka huyo anajitoa ufahamu halafu nataka nimpe talaka maana anaonekana hajatulia hata kidogo macho kayaweka juu juu Kama tai.
Hahahahah Dada jambilo labda hujampa kiti akakaa kabisa na kuamini yeye ndiye mkalia kiti kwa sasa hviyo anajaribu kutafuta kiti atakacho kalia vizuri...Muaminishe tu kuwa ni yeye kwa sasa na husikii wala hutaambiwa na yeyote...
 
Hahahahah Dada jambilo labda hujampa kiti akakaa kabisa na kuamini yeye ndiye mkalia kiti kwa sasa hviyo anajaribu kutafuta kiti atakacho kalia vizuri...Muaminishe tu kuwa ni yeye kwa sasa na husikii wala hutaambiwa na yeyote...
Tatizo ana mambo mengi Kama chumvi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…