Makapuku Forum

Hahahahahah and then nathani ukaja pita na Mama Mtumish mazima ama hili hutaki kulizungumzia...
Hansard iwekwe vizuri, Sumbai alikuwa shemasi but nilimfukuza kwa uzinz na walevi mtaani, mama mtumishi yeye alikuwa na wivu sana na akiona binti anakuja kwa huduma anachukia, ndo maana tulitengana, note ..tulitengana ndo fisi Sumbai kaokota
 
Hansard iwekwe vizuri, Sumbai alikuwa shemasi but nilimfukuza kwa uzinz na walevi mtaani, mama mtumishi yeye alikuwa na wivu sana na akiona binti anakuja kwa huduma anachukia, ndo maana tulitengana, note ..tulitengana ndo fisi Sumbai kaokota
Nimekuelewa pasina shaka Baba Mtumish wacha tuone sumbai atasemaje juu ya haya...hahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…