Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hatusaidii ila anafanya hivyo kwa mapenzi yake kwetu (tofautisha kutoa msaada na kushow some love)

Hivyo ukitaka updates za mpira unajua wapi pa kuzipata na unajua kuwa mwenye hicho kitengo ni Bitoz hiyo ni katika kuufanya uzi huu uwe na ladha zaidi
Nafaham hilo Dadake, but wapo ambao hajui pa kufuatilia matokeo na pia hawana access ya kuangalia live, hao ndo wanafaidi moja kwa moja toka bitoz,....mzima lakini!!
 
Shule 4m 1 na 4m 4 huwa hawapatani kabisa ni sawa na wakongwe v makapuku .....hawapatani kwa jambo lolote na huwezi kuwapatanisha nakumbuka nikiwa 4m 1 ilikuwa ni bora tufungwe tukicheza mpira na 4m 2 au 3 lkn sio 4m 4 na pia mademu wa 4m 1 walikuwa makauzu kinoma kuwakubalia mabishoo wa 4m 4

.. .........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom