lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
nimeona viwavi tuUnajuaga sim natumiaga? Jina ake ni Caterpillar!!! Gugo uone![]()
nimeona viwavi tuUnajuaga sim natumiaga? Jina ake ni Caterpillar!!! Gugo uone![]()
MwaliNnayo 6!

Sio mtaalam wa kuedit kuwashind mods wa jf.Edit na hiyo niliyo-quote![]()
![]()
![]()
![]()
Ni ngumu kumhurumia mtu ambaye hajihurumii mwenyewe. Mara kwanza alisaidiwa na mhe. JK lakini bado anarudia yaleyale.Yes, that is what she has chosen. Afu kuna watu wanamuonea huruma.
nimeona viwavi tu
Naona jamaa anakusumbua sana teh tehee...Hahahaa ndio
Hata wa miaka 12 wanajua mafumboooWashangaa nini Sasa? Kwani una miaka kumi na mbili???
Unachekaje kiongozi EMMYGUY
Yaani, halafu aachiNaona jamaa anakusumbua sana teh tehee...
Kwani wa miaka 12 hajui??Washangaa nini Sasa? Kwani una miaka kumi na mbili???
Mwambie huyo abanabana kitu amepewa buree!Hata wa miaka 12 wanajua mafumbooo
Halafu si alianza kampeni ya kuwasaidia wenzake? Akawa mzuri mpaka mama yake Akawa anawashukuru waliomsaidia mwanaye, Wanawake tunazaa jamani... Na hivi mtoto kwa mzazi hakui, namhurumia mama yakeNi ngumu kumhurumia mtu ambaye hajihurumii mwenyewe. Mara kwanza alisaidiwa na mhe. JK lakini bado anarudia yaleyale.
Anipe mara moya tu mimi apana tena sumbua yeye! Just moyaNaona jamaa anakusumbua sana teh tehee...

Kigego.Mwali![]()