Makapuku Forum

Makapuku Forum

bfc7e11d62e7107a974890aca46d4bf2.jpg

France : Albania
...........
Asante Payet Asante Grizman.....giroud mjinga alikwenda kutaliiii uwanjan
 
Giroud ana haja ya kumchek basi.. Huyo kama baadhi ya wanafunzi darasan ticha akifika na kukuta fujo anakurasha mikwaju tu, hata kama haukuwemo.. Ndio handsome boy wetu giroud..
Hahahahaa

Hatarii sasa hiyo, nadhan kesho nita fuatilia leo nlikuwa njian mpaja saa tano kasoro nkapotezea
Giroud ana haja ya kumchek basi.. Huyo kama baadhi ya wanafunzi darasan ticha akifika na kukuta fujo anakurasha mikwaju tu, hata kama haukuwemo.. Ndio handsome boy wetu giroud..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom