Kweli"Hakuna kitu kibaya Kama kumpa lift mzungu. Hata akae kiti cha nyuma itaonekana yeye ndo mmiliki wa gari na ww ni dereva wake. Dawa kumpakia kwenye buti."
-Dereva wa Mugabe-![]()
Ndondo Cup Fixture.COPA AMERICA
QUARTER FINAL
17/06 United S 04 : 30 Ecuador
18/06 Peru 03 : 00 Colombia
19/06 Argentin 02 : 00 Venezuel
19/06 Mexico 05 : 00 Chile
Euro ni rugby leagueNdondo Cup Fixture.
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Mkaoge mje kunywa chai sasa![]()
Nawaona...
..........
Ameeen.....shikamoo...Dada jimena uinuke zeze???View attachment 356658View attachment 356659
Kutoka katika meza ya magazeti sina la ziada kwa leo, nawatakia siku njema na tuendelee kuwa pamoja hapa hapa Makapuku forum
Kweli kabisa"Hakuna kitu kibaya Kama kumpa lift mzungu. Hata akae kiti cha nyuma itaonekana yeye ndo mmiliki wa gari na ww ni dereva wake. Dawa kumpakia kwenye buti."
-Dereva wa Mugabe-![]()
Hapa naombea USA atupwe outCOPA AMERICA
QUARTER FINAL
17/06 United S 04 : 30 Ecuador
18/06 Peru 03 : 00 Colombia
19/06 Argentin 02 : 00 Venezuel
19/06 Mexico 05 : 00 Chile
Pamoja sanaTushayapata
KaribuSenkyu Jimena![]()
LolAh
Taarifa zilizotufikia hivi punde mashine iliyotakiwa kutumika kuzimia simu feki imeibwa....
: Ni mm jojiiii maratuuuuu wa itviiiiiiiiiiii
Siwapendi![]()
kwa nini mkuu
Hongera dadakePamoja sana