Makapuku Forum

Ataitwa msichanamama.
Aiseee....kwa maaana Hiyo Tanzania hatuna wasichana kabisaaaa
Hakyanan
Huyo mwanamke

Kwanza under 18 ili aitwe msichana lazima awe na usichana wake, kama hajautunza huyo ni mwanamke asa kama anajielewa atakuwa mwanamke anaejielewa ila kama hajielewi atakuwa mwanamke mwenye akili za kitoto
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…