Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Aweke picha tuhakikisheDah basi huyu jambilo atakua HB sana
Labda wamefanana na mama zao je??
Aweke picha tuhakikisheDah basi huyu jambilo atakua HB sana
Watu mna hujuma....Maombi yake usiyaamini sana lakini
Pamoja na yote hayo lakin pesa ina nguvu sana jamanUsikute alichachoka usaliti wa masharo akaamua kutulia na mzazi
Kuna sababu zaidi ya hela inayoweza kupelekea mtu kuolewa na mtu wa age tofauti
Celine Dion ni mfano tosha kuwa sio hela tu
Sasa hivi utasikia Daud Ballali kaonekana kwenye Maparachichi huko Kyela![]()
![]()
![]()
watu ni shiiiiida
Ndo mpango haijalishi nani anafungwaUkifunga, ukifungwa tupia magori
Buku tu,Sukari huko kwenu bei gani??
Hahahahaaaaa hilo nalo neno..Aweke picha tuhakikishe
Labda wamefanana na mama zao je??
Uko vizuriNdio maana mie niliuliza mapema ili nisije nikakosea
wasiwasi ndio akiliUko vizuri
Hukurupuki
Poa poa
Briz na wewe si kashajibu hapo kuwa yeye ni MrOk, ni ipi sasa jinsia yako?
Kwenye Yale mabwawa yetu![]()
Bado mm kuonekana kwenye Kambale wa Mabibo
.........
Mi nlijua hiyo Mr naitwa mieBriz na wewe si kashajibu hapo kuwa yeye ni Mr
HaaahaaaSasa hivi utasikia Daud Ballali kaonekana kwenye Maparachichi huko Kyela
Huko ataonekana magufuliSasa hivi utasikia Daud Ballali kaonekana kwenye Maparachichi huko Kyela
Kuna kaukweli hapa chiefwasiwasi ndio akili
Niko mbwinde nitapita keshoBuku tu,
Panda gari uje hapa sitimbi nitakupa kilo mbili