Makapuku Forum

Ushawahi kula tembele la chooni??
 
Yupo mtu mwenye # zangu na tunajuana na ni mtu anayeheshimu PRIVACY japo yupo hapahapa
Tutaheshimiana
.........
Kweli mwingine haeshimu mawasiliano ya mwingine kitu ambacho siyo kizuri. Nami yupo mtu ana namba yangu na anaheshimu Sana mawasiliano yangu kwa kweli.
 
Kweli mwingine haeshimu mawasiliano ya mwingine kitu ambacho siyo kizuri. Nami yupo mtu ana namba yangu na anaheshimu Sana mawasiliano yangu kwa kweli.
Mfano mmegombana anakuanzishia thread na picha zako za WhatsApp atasambaza huku JF
FOOLISH
... .......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…