Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,050
basi huku kwetu wasije
Ushawahi kula tembele la chooni??Uswazi balaa mkuu, maji taka yao yanatoboa mabomba ya chemba maana upate yaliyotoka Tandale ambayo ni mixer Spea za kuku kwa maana ya vichwa miguu na utumbo,dagaa maji chumvi...kama yakihifadhiwa vizuri tunaweza kujipatia gesi yetu mjini na kuvunja uhusiano na watu wa mtwara wanaotusimanga na gesi yao!
Kweli mwingine haeshimu mawasiliano ya mwingine kitu ambacho siyo kizuri. Nami yupo mtu ana namba yangu na anaheshimu Sana mawasiliano yangu kwa kweli.Yupo mtu mwenye # zangu na tunajuana na ni mtu anayeheshimu PRIVACY japo yupo hapahapa
Tutaheshimiana
.........
Nenda mkuu....kisha uje tupoteze masaa muda Wa futari ufikeHii miezi mitatu ya kutokuwa jf kumenifanya niwe kapuku?
Haya, naenda kusoma
Huo ndo ukweli mpendwaLinamo anazingua.
Wewe hufai kabisa kuishi na mgonjwa wa moyo.Anajifariji Sana lakini ukweli nahrene ashavalishwa shela
Lol balozi wa sadolin au??
Tena choo cha bar mkuu...huna hata haja ya kuongeza chumvi....raha sana!Ushawahi kula tembele la chooni??
Asante mkuu usijali tutakuja.Za jumapili wanafamilia mko powa kwa wale wa moshi wapenda gospel tukutane MTBC kiboriloni from 3:00pm-6:00pm kutakuwa na tamasha la ukweli kiingilio ni bure!! usikose
HahahahaWewe hufai kabisa kuishi na mgonjwa wa moyo.
Wewe hufai kabisa kuishi na mgonjwa wa moyo.
Mfano mmegombana anakuanzishia thread na picha zako za WhatsApp atasambaza huku JFKweli mwingine haeshimu mawasiliano ya mwingine kitu ambacho siyo kizuri. Nami yupo mtu ana namba yangu na anaheshimu Sana mawasiliano yangu kwa kweli.
Hapo sawa.huyu labda atapeliwe mania mabibo beach mwendokasi hamna na mjini huwa haendi pekee yake
KaribuAsante mkuu usijali tutakuja.
Ila mtu mwenye tabia hii atakuwa na akili za kitoto.Mfano mmegombana anakuanzishia thread na picha zako za WhatsApp atasambaza huku JF
FOOLISH
... .......
UsijaliHapo sawa.
Ila inabidi unipe contacts zako mkuu ili hata ikitokea ukigongwa na Boda boda nijue mkuu.
AiseeUshawahi kula tembele la chooni??