Ukimpata aliyetoka kwenye maji taka baridi yaliyotoka vyoo vya ushuani ni watamu sana...tena umpate Kambale aliyekula mabaki ya maji taka msimu wa sikukuu ni watamu sana!
Hiyo kitu sili hata kwa dawa.Shida yako kitoweo mitamu au ?
Mbona ng'ombe au bata wanakula matakataka lkn tunawala TU
........
Kwani huoni??Ha hahahahh aisee
ongeza kabisa vitunguu,nyanya,hoho,numbu na migagi ili ufungue kabisa genge moja kwa moja!Asante sana mkuu,usisahau karanga mbichi na asali pamoja na nyanya chungu...
Mmh acha fixUsiogope mkuu,mambo ya kawaida sana tu.
Mwache kwanza mtoto apumzike.ila nimemmis sana
Wanapatikana hapo au majitaka/matopeni sehemu yoyoteBitoz hao wamevuliwa hapo???
Bitoz anakurusha hiyo kitu ni direct from MtaroniKumbe Bitoz ananidanganyaeee
Wanasema vitoweo vichafu ndo huwa vitamu zaidi.
Yes
Lkn watamu
........
Ha haaaa hapo kanikosaBitoz anakurusha hiyo kitu ni direct from Mtaroni
Duh.Nita
ongeza kabisa vitunguu,nyanya,hoho,numbu na migagi ili ufungue kabisa genge moja kwa moja!
HujalazimishwaHiyo kitu sili hata kwa dawa.
Hilo jina tuu linaonyesha wewe ni kapuku....haya kasome post namba 3Mimi nipo kwenye kundi gani jamani
Hujalazimishwa
Ubishoo ndo maana mnapata magonjwa ya ovyo na vipumbu kidogo km goroli
.......
Wanasema vitoweo vichafu ndo huwa vitamu zaidi.
Eg.kitimoto,bata na hao kambale
Usituzingue
Uswaz is the best
........
Yeah....I know maaana Siku hizi kila mtu shungi tuu.....Saivi mji umepoa sana mkuu sababu ya huu mwezi*
Hii miezi mitatu ya kutokuwa jf kumenifanya niwe kapuku?Hilo jina tuu linaonyesha wewe ni kapuku....haya kasome post namba 3
Kisha njoo umwage likes
kwani hao wadudu wanaongeza mapu**?