Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
We una utani na mashabiki wa bashalona
We una utani na mashabiki wa bashalona
![]()
Tupishe huko...kacheze rede
........
naww usiku kulikoni?Ukwendreeee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Messi,Neyma. Wataanzaanzaje kupingaWe una utani na mashabiki wa bashalona
Ina maana bado hujajua??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Halaf EURO unashabikia tim gan!!?
Sio Romania aiseeHahaha
Asa hata waafrika tunaitwagwa wa porini
Nadhan eb tuwape nguvu wapori pori wenzetu
Omba omba halafu weziOmba Omba wa ulaya

Wewe bila Shaka utakuwa EnglandHahahahaa
Siiipendi![]()
![]()
![]()
na hamchukuiii
Mi ujerumaniWewe bila Shaka utakuwa England
Ni timu lenu na PNC1![]()
![]()
![]()
![]()
nsha kusoma
roho mbaya inakondesha...unajua???Mi ujerumani
NB ntashabikia timu yyte kasoro spain
kwa chuki kwa moyo utaipenda...Ngoja iishe mech hapa ntajaribu kuwachukiaOmba omba halafu wezi
Yani sikuhizi mtu hawezi kwenda town akaacha mlango wazi kama zamani
Hawa wazungu pori ni wezi hata shetani hatakii![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
