Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Umekuja?Leo ngoja niwafarij romania apa
Umekuja?Leo ngoja niwafarij romania apa
Kama Mimi najinyongaHahahaa
Ukumbi mzima romania peke yangu
![]()
![]()
![]()
Waambie bae![]()
![]()
![]()
![]()
Messi ni Trilionea
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aaaah ila vijana wa barca kama wacha**a!!! Mna penda hela
Ado kodi hamtak kulipa

Unapandia???Labda Netiboli Cup
![]()
![]()
![]()
........
Unahisi wale wazee wa England watachukua kombe??Bingwa wa baiskeli ee!!?
Hahahaa
Ngoja tusapot vipaji
Kuna jamaa kaingia apa amepiga vitwanga ndo ana nsaidia kuishabikia romania

Wana chance kubwa ya kuchukua kuliko spainUnahisi wale wazee wa England watachukua kombe??

Ila mwenyeji lazma abebweHata vijana wa Romania tuna jitahid bro
Hadi nikupeleke Hispania ndo utajua![]()
![]()
![]()
Sielew kitu apo
Vipi shda tena
AaaahIla mwenyeji lazma abebwe

![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uyu kitwanga ana nsaidia hapa
usikimbie tu mechi ikiisha uniage hapa

Angekwepa kodi?Waambie bae
Uwiiiii nadhani huyo aliyepiga kitwanga hapo karibu yako anakulewesha maanaWana chance kubwa ya kuchukua kuliko spain![]()
